TPLB: Yanga mtake msitake ni AzamTV tu
Dar es Salaam. Uongozi wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), umesema Yanga itake isitake AzamTV itarusha mechi zote na kama hawataki ni bora wakajitoa kwenye Ligi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Lowassa: Msitake sheria za kuwafunga jela waandishi tu
11 years ago
Mwananchi05 Feb
TFF, TPLB warudisha tiketi za analojia
10 years ago
TheCitizen16 Oct
TPLB set to hold election next month
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EtkgQxtls6s/default.jpg)
Rais Kikwete Akihojiwa AZAMTV
Rais Jakaya Kikwete amekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa studio ya kisasa ya Azam Tv itakayojulikana kama Uhai Production iliyopo eneo la Tabata kando ya barabara ya Mandela.
Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando amesema studio hiyo ni ya kisasa na haifanani na studio yoyote ya chombo chochote cha habari hapa Tanzania. Aidha alisema hadi kukamilika kwa ujenzi wa studio hiyo, zaidi ya dola za kimarekani milioni 31 zimetumika.Mkurugenzi wa Uendeshaji, Yahya Mohamed amesema hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8MiHc637aVs/XlF0tv6obpI/AAAAAAALe2Y/m948wPPCFa8VbL1Cv_MAiIGnDrYXoQwyACLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmrithi.jpg)
TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA BODI YA LIGU KUU TANZANIA (TPLB)
Mechi namba 218- Azam FC 1 vs Coastal Union FC 2.
Klabu ya Azam FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuchelewa kutoka uwanjani hata Kamishna alipowaita walikaidi amri ya kutoka vyumbani na golikipa wa timu hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iftuslMTla8/U3t9V6NdJII/AAAAAAAChnU/mw4hEN81Xjw/s72-c/Image+20-05-2014+at+14.33+(27).png)
AZAMTV YAJA NA KWETU HOUSE (search for the Ultimate Fun)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iftuslMTla8/U3t9V6NdJII/AAAAAAAChnU/mw4hEN81Xjw/s1600/Image+20-05-2014+at+14.33+(27).png)
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la...
11 years ago
MichuziAZAMTV WAKABIDHI FEDHA KWA BODI YA LIGI MSIMU WA PILI
11 years ago
Dewji Blog21 May
AzamTV yaja na Kwetu House (search for the Ultimate Fun) kwa mashabiki wa Soka nchini
AzamTV wamezindua mashindano yatakayowahusisha wapenzi wa kandanda yatakayojulikana kama KWETU HOUSE. Mashindano haya ambayo ni mara ya kwanza Tanzania yatashirikisha wapenzi na mashabiki wa mpira wa miguu ambapo watu kumi wa 10 wa timu mbalimbali watachaguliwa na kuishi katika nyumba moja kwa muda wa siku 3 wakionyesha ni jinsi gani wao ni mashabiki namba mmoja kwa timu zao .
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la kufanya...