Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZAMTV WAKABIDHI FEDHA KWA BODI YA LIGI MSIMU WA PILI

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania Silas Mwakibinga akiwaonesha waandishi wa habari uthibitisho wa malipo ya shilingi milioni 400 ikiwa ni sehemu ya pili ya malipo kwa ajili ya Ligi Kuu.  Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Azam Media Rhys Torrington (kulia) akimkabidhi  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania Silas Mwakibinga nakala ya uthibitisho wa malipo ya fedha kwa ajili ya Ligi Kuu ya Vodacom.  KAMPUNI ya Azam Media imetangaza kuwa tayari imeshatuma fedha kwa Bodi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

TFF imejiandaaje kwa ligi msimu ujao?

WAKATI Ligi Kuu soka Tanzania Bara inafikia ukingoni msimu uliopita, yaliandikwa na kusemwa mengi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Viwanja vitakavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu

Ligi Kuu msimu wa 2014/15 itaanza Septemba 20 na itashirikisha timu 14 zitakazopigwa kwenye viwanja kumi katika mikoa tofauti nchini.

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Uwanja wa Jamhuri kamili kwa Ligi Kuu msimu huu

Maandalizi ya mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 kati ya Mtibwa Sugar na Yanga SC yamekamilika mkoani hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Bodi ya Ligi zimalize mvutano kwa maridhiano

Bodi ya Ligi (TPLB), ambayo inaendesha Ligi Kuu ya Soka na Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kwa sasa iko kwenye mzozo mkubwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

 

9 years ago

MillardAyo

Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu …

Kwa sasa Mesut Ozil hadi anaondoka ndani ya klabu ya Real Madrid ya Hispania na kujiunga na Arsenal ya Uingereza ndio alikuwa mchezaji anayeongoza kumpa pasi za mwisho Cristiano Ronaldo na kufunga magoli. Achana na rekodi ya sasa ya Mesut Ozil ya kuwa mchezaji anayeongoza kutoa pasi nyingi za magoli kwa muda mchache. Nimekutana na […]

The post Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zaiandikia FA juu ya kuahirishwa kwa msimu

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zatuma barua kwa FA, na kutoa wito wa kutaka ifikirie tena umauzi wake wa kuahirisha msimu

 

10 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15

Msimu wa pili wa Kwetu House - “kwetu house, kipaji zaidi ya soka” hili shindano ambalo hujumuisha zaidi wapenzi wa soka wenye Kipaji, jumla ya mikoa mitano (Arusha, Zanzibar, Dodoma, Mbeya na Mwanza) kutoa washiriki zaidi kwa ajili ya kunogesha na kuleta upinzani wa kutosha msimu huu mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 15, tofauti na msimu uliopita ambao ilikuwa Sh milioni 10.
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani