Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF, Bodi ya Ligi zimalize mvutano kwa maridhiano

Bodi ya Ligi (TPLB), ambayo inaendesha Ligi Kuu ya Soka na Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kwa sasa iko kwenye mzozo mkubwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzozo wanukia TFF, Bodi ya Ligi

Ni dhahiri kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na klabu 12 za Ligi Kuu zimeingia kwenye mzozo wa kimasilahi  kutokana na makato ya asilimia tano kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya soka nchini.

 

5 years ago

Michuzi

TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho

TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho kujadili mustakabali wa Ligi Kuu, Daraja La kwanza (FDL), daraja la Pili (SDL) na ligi za Mkoa kutokana na Mlipuko wa Virusi vya Ugonjwa wa Corona.

 

11 years ago

Michuzi

AZAMTV WAKABIDHI FEDHA KWA BODI YA LIGI MSIMU WA PILI

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania Silas Mwakibinga akiwaonesha waandishi wa habari uthibitisho wa malipo ya shilingi milioni 400 ikiwa ni sehemu ya pili ya malipo kwa ajili ya Ligi Kuu.  Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Azam Media Rhys Torrington (kulia) akimkabidhi  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania Silas Mwakibinga nakala ya uthibitisho wa malipo ya fedha kwa ajili ya Ligi Kuu ya Vodacom.  KAMPUNI ya Azam Media imetangaza kuwa tayari imeshatuma fedha kwa Bodi...

 

10 years ago

Raia Mwema

TFF imejiandaaje kwa ligi msimu ujao?

WAKATI Ligi Kuu soka Tanzania Bara inafikia ukingoni msimu uliopita, yaliandikwa na kusemwa mengi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF

>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom na TFF zasaini mkataba wa udhamini wa ligi kuu kwa miaka mitatu

 Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi(kushoto)na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo Kelvin Twissa(kulia)wakielekezwa na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu jinsi ya kusaini mkataba wa makubaliano ya udhamini wa ligi Kuu ya  Vodacom Tanzania  bara kwa msimu wa 2015/16.

 Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi(kushoto)pamoja na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo Kelvin Twissa(katikati)wakisaini mkataba...

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi kitanzini

Dar es Salaam. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kilichokutana jana kimeshindwa kuivunja bodi ya ligi badala yake wameunda kamati ya kuchunguza muundo wake.

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani