Bodi ya Ligi yahusishwa
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Bodi ya Ligi kitanzini
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Bodi ya Ligi yaionya Yanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FgEVhZFnvDo/XnC5fP2H3qI/AAAAAAALkFQ/YCMRdMRUuIsOZN-9IeADeiKNq97DC0SpwCLcBGAsYHQ/s72-c/cd91494e-7468-410f-99b0-f6dd6981f07a.jpg)
TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho
![](https://1.bp.blogspot.com/-FgEVhZFnvDo/XnC5fP2H3qI/AAAAAAALkFQ/YCMRdMRUuIsOZN-9IeADeiKNq97DC0SpwCLcBGAsYHQ/s640/cd91494e-7468-410f-99b0-f6dd6981f07a.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Malinzi aitunishia msuli Bodi ya Ligi
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema kuwa Bodi ya Ligi haina mamlaka ya kupinga maamuzi yeyote ya kamati ya utendaji ya TFF, chombo pekee chenye uwezo wa kupinga maamuzi hayo...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Bodi ya Ligi Kuu kupangua ratiba
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Mzozo wanukia TFF, Bodi ya Ligi
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Bodi ya ligi yathibitisha ushindi wa Majimaji, Toto
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Azam Media yamwaga mamilioni Bodi ya Ligi
KAMPUNI ya Azam Media Ltd yenye mkataba wa haki za matangazo ya televisheni ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, imeikabidhi Bodi ya Ligi (TPL Board) sh milioni 462, ambazo ni...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
TFF, Bodi ya Ligi zimalize mvutano kwa maridhiano