Bodi ya ligi yathibitisha ushindi wa Majimaji, Toto
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imethibitisha ushindi wa pointi na mabao matatu kwa timu za Majimaji na Toto Africans.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI WATHIBITISHWA FDL

Toto Africans imepewa ushindi huo kwa mujibu wa Kanuni ya 41(3) ya FDL baada ya vurugu za washabiki wa Geita Gold kusababisha mechi hiyo iliyochezwa Februari 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Nyankumbu mkoani Geita kuvunjika dakika ya 12.
Pia...
10 years ago
Vijimambo
USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI HAOOOO WATHIBITISHWA FDL


10 years ago
Mwananchi17 Feb
Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Toto yazidi kutesa ligi yao
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Yametimia Toto African, Mwadui zapanda Ligi Kuu
10 years ago
Mwananchi11 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Majimaji FC imepandishwa na Mswahili, itashushwa na Mzungu?
10 years ago
Vijimambo27 Jan
FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Bodi ya Ligi kitanzini
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Bodi ya Ligi yahusishwa
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...