Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI HAOOOO WATHIBITISHWA FDL

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imethibitisha ushindi wa pointi na mabao matatu kwa timu za Majimaji na Toto Africans baada ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kuvurugika kutokana na sababu mbalimbali.Toto Africans imepewa ushindi huo kwa mujibu wa Kanuni ya 41(3) ya FDL baada ya vurugu za washabiki wa Geita Gold kusababisha mechi hiyo iliyochezwa Februari 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Nyankumbu mkoani Geita kuvunjika dakika ya 12.Pia Kamati hiyo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI WATHIBITISHWA FDL

MajimajiKamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imethibitisha ushindi wa pointi na mabao matatu kwa timu za Majimaji na Toto Africans baada ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kuvurugika kutokana na sababu mbalimbali.
Toto Africans imepewa ushindi huo kwa mujibu wa Kanuni ya 41(3) ya FDL baada ya vurugu za washabiki wa Geita Gold kusababisha mechi hiyo iliyochezwa Februari 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Nyankumbu mkoani Geita kuvunjika dakika ya 12.
Pia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bodi ya ligi yathibitisha ushindi wa Majimaji, Toto

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imethibitisha ushindi wa pointi na mabao matatu kwa timu za Majimaji na Toto Africans.

 

10 years ago

Mwananchi

Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti

>Baada ya kufanikiwa kupanda  daraja na kucheza Ligi Kuu Bara, Majimaji ya Songea na Toto African ya Mwanza zimejiwekea malengo tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushindi wa chama cha Suu Kyi wathibitishwa

Chama cha upinzani nchini Myanmar kimepata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili, maafisa wa uchaguzi wamesema.

 

9 years ago

Habarileo

Star Times yadhamini FDL

KAMPUNI ya Star Times imeingia mkataba wa miaka mitatu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kudhamini Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara wenye thamani ya Sh milioni 900.

 

9 years ago

Michuzi

STAR TV YAINGIA MKATABA NA TFF KUONYESHA Ligi Daraja la Kwanza (FDL)

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) leo limeingia mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya shilingi milioni mia nne hamsini (450,000,000), na kituo cha luninga cha Star Tv kurusha matangazo ya Ligi Daraja la Kwanza nchini (FDL)Akiongea na waandishi wa habari wakati wa kusaini mkataba huo, Rais wa TFF Jamal Malinzi aliishukuru kampuni ya Sahara Media Group kwa kuamua kuwekeza katika mpira wa miguu nchini kwa kuamua kuonyesha ligi daraja la kwanza.Malinzi ameviomba vilabu vya FDL kutumia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya 5000 wathibitishwa kufa Nepal

Idadi ya watu waliothibitishwa kuaga dunia kulipotokea tetemeko la ardhi nchini Nepal siku ya Jumamosi imezidi watu 5000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya 4000 wathibitishwa kufa Nepal

Utawala nchini Nepal unasema watu zaidi ya watu 4000 wamedhibitishwa kuaga dunia kwenye tetemeko la ardhi la siku ya Jumamosi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 113 wathibitishwa kufariki Korea Kusini

Wapiga mbizi wamepata miili zaidi ndani ya Feri iliyozama wiki jana nchini Korea Kusini na kufikisha 113 idadi ya watu waliofariki katika ajali hiyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani