Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti
>Baada ya kufanikiwa kupanda daraja na kucheza Ligi Kuu Bara, Majimaji ya Songea na Toto African ya Mwanza zimejiwekea malengo tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s-CS71cY_uc/VN4_6dNMRiI/AAAAAAAHDng/yKzzY3GUp4g/s72-c/1-728471.jpg)
USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI WATHIBITISHWA FDL
![](http://1.bp.blogspot.com/-s-CS71cY_uc/VN4_6dNMRiI/AAAAAAAHDng/yKzzY3GUp4g/s1600/1-728471.jpg)
Toto Africans imepewa ushindi huo kwa mujibu wa Kanuni ya 41(3) ya FDL baada ya vurugu za washabiki wa Geita Gold kusababisha mechi hiyo iliyochezwa Februari 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Nyankumbu mkoani Geita kuvunjika dakika ya 12.
Pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ln2YKOBfymw/VN3drBmvBoI/AAAAAAACXG8/H5ikOSC66s8/s72-c/MAJIMAJI.jpg)
USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI HAOOOO WATHIBITISHWA FDL
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ln2YKOBfymw/VN3drBmvBoI/AAAAAAACXG8/H5ikOSC66s8/s640/MAJIMAJI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZDpQraGUJU/VN3eGru7oPI/AAAAAAACXHE/Cq1hFHu8r5U/s640/TOTO%2B2012.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Bodi ya ligi yathibitisha ushindi wa Majimaji, Toto
10 years ago
Mwananchi05 May
Migogoro yafukuta Toto African
9 years ago
MichuziAZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0
Beki wa Toto African, Salum Chuku (katikati) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu (wa pili kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azam ilishinda 5-0.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Ivo aibukia Toto African
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Toto African yamsaka kocha Mjerumani
KLABU ya Toto African ya Mwanza inatarajia kumpata kocha mpya kutoka Ujerumani Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu ujao.
Timu ya Toto African iliyopata daraja msimu uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza kuiandaa timu yao.
Gau alisema...
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Stand United yanyofoa nyota wa Toto African
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s72-c/tff.jpg)
TOTO AFRICAN KUFANYA UCHAGUZI MWEZI OKTOBA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s400/tff.jpg)
Katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Toto African, Katibu Mkuu wa TFF ameuagiza uongozi wa Toto African kuwasiliana na Kamati yao ya Uchaguzi ili tangazo la uchaguzi litolewe si chini ya siku sitini (60) kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi.
Kwa muda mrefu kumekuwa na mvutano katika klabu ya Toto na suala kubwa likiwa ni kuhusu ujazaji wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10