AZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0
Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu akitafuta mbinu za kumtoka veki wa Toto African, Hamis Seleman katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Beki wa Toto African, Salum Chuku (katikati) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu (wa pili kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azam ilishinda 5-0.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSimba yaifunga Azam FC 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
MichuziYANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Azam yashinda, Toto yachapwa
10 years ago
BBCSwahili07 May
Azam yaifunga Yanga yashika nafasi 2
10 years ago
Mwananchi05 May
Migogoro yafukuta Toto African
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Ivo aibukia Toto African
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Toto African yamsaka kocha Mjerumani
KLABU ya Toto African ya Mwanza inatarajia kumpata kocha mpya kutoka Ujerumani Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu ujao.
Timu ya Toto African iliyopata daraja msimu uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza kuiandaa timu yao.
Gau alisema...
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Stand United yanyofoa nyota wa Toto African
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti