Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0

 Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu akitafuta mbinu za kumtoka veki wa Toto African,  Hamis Seleman katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Beki wa Toto African, Salum Chuku (katikati) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu (wa pili kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azam ilishinda 5-0. 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Simba yaifunga Azam FC 2-1

 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano 'Messi" akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuipatia timu yake bao la pili.
Beki wa Azam FC, Agrey Moris akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Raha ya ushindi. 
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.  Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani leo. Kikosi cha Azam FC.

 

9 years ago

BBCSwahili

Azam yashinda, Toto yachapwa

Ligi kuu ya Tanzania bara jana iliendelea tena kwa michezo miwili kuchezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yaifunga Yanga yashika nafasi 2

Baada ya kuvuliwa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara,Azam FC hatimaye imekata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Afrika mwakani,

 

10 years ago

Mwananchi

Migogoro yafukuta Toto African

Wanachama wa Klabu ya Toto Africans wamemtaka Makamu Mwenyekiti na Kamati ya Utendaji kujiuzulu kutokana na utendaji wao kuwa butu na kusababisha kushuka kwa maendeleo ya timu.

 

9 years ago

Mwananchi

Ivo aibukia Toto African

Aliyekuwa kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda ameibukia kwenye mazoezi ya timu ya Toto Africans huku akibainisha kuwa lolote linawezekana kwani kazi yake ni mpira na siyo kingine.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Toto African yamsaka kocha Mjerumani

KLABU ya Toto African ya   Mwanza inatarajia  kumpata kocha mpya  kutoka Ujerumani  Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu  ujao.

Timu ya Toto African iliyopata daraja   msimu  uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema  kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza  kuiandaa timu yao.

Gau alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Stand United yanyofoa nyota wa Toto African

Stand United, ambayo imepanda Ligi Kuu msimu ujao imekivunja kikosi cha Toto Afrika baada ya kuwasajili wachezaji wawili wa timu hiyo, Kheri Mohamedi na beki kisiki John Bosco, huku wengine wengi wakiwa njiani kuelekea katika timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti

>Baada ya kufanikiwa kupanda  daraja na kucheza Ligi Kuu Bara, Majimaji ya Songea na Toto African ya Mwanza zimejiwekea malengo tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani