Toto African yamsaka kocha Mjerumani
KLABU ya Toto African ya Mwanza inatarajia kumpata kocha mpya kutoka Ujerumani Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu ujao.
Timu ya Toto African iliyopata daraja msimu uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza kuiandaa timu yao.
Gau alisema...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Mjerumani avunja udugu Toto, Yanga
9 years ago
Habarileo24 Oct
Kocha Toto Africans amwaga visingizio
KOCHA Mkuu wa Toto Africans, Martin Grelics, amesema malengo ya klabu yake si kuzifunga Simba, Yanga wala Azam badala yake ni kuhakikisha inaendelea kubaki kwenye ligi ili apate muda wa kukiboresha kikosi hicho.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kocha Toto atangaza kubwaga manyanga
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Ivo aibukia Toto African
9 years ago
MichuziAZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0
Beki wa Toto African, Salum Chuku (katikati) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu (wa pili kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azam ilishinda 5-0.
10 years ago
Mwananchi05 May
Migogoro yafukuta Toto African
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Stand United yanyofoa nyota wa Toto African
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10