Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Toto atangaza kubwaga manyanga

Kocha Mkuu wa Toto Africans, Martin Grelics amepanga kuachia ngazi kutokana na kuchoshwa na hali ya mambo inavyoenda ndani ya klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Dortmund kubwaga manyanga.

Kocha wa klabu ya soka ya Ujerumani Borrusia Dortmund Jurgen Klopp, atasitisha mkataba wake na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Advocaat kubwaga manyanga,Sunderland

Kocha wa timu ya soka Sunderland ya England, Dick Advocaat ametangaza kubwaga manyanga kuendelea kuifundisha klabu hiyo

 

10 years ago

Michuzi

MAKATIBU WA CCM VUNJO WATAKA KUBWAGA MANYANGA.

 MAKATIBU wa Kata wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wilaya ya Moshi Vijijini wametishia kubwaga manyanga na kurudisha kadi zao ikiwa Katibu wao wa Wilaya ataendelea na jitihada za kutaka kukigawa chama kwa kumuandaa mtu wake kwa ajili ya kugombea Ubunge mwaka 2015.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, viongozi hao ngazi ya kata katika wilaya ya Moshi vijijini, walisema migogoro na malumbano ndani ya CCM imekuwa chanzo cha wapinzani kushinda kiurahisi katika Jimbo la Vunjo.  Mmoja wa viongozi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Toto Africans amwaga visingizio

KOCHA Mkuu wa Toto Africans, Martin Grelics, amesema malengo ya klabu yake si kuzifunga Simba, Yanga wala Azam badala yake ni kuhakikisha inaendelea kubaki kwenye ligi ili apate muda wa kukiboresha kikosi hicho.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Toto African yamsaka kocha Mjerumani

KLABU ya Toto African ya   Mwanza inatarajia  kumpata kocha mpya  kutoka Ujerumani  Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu  ujao.

Timu ya Toto African iliyopata daraja   msimu  uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema  kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza  kuiandaa timu yao.

Gau alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara

Kocha mkuu wa Toto Africans, Martin Glerics amewaambia maneno machache mashabiki wa timu hiyo kuwa amekuja nchini kufanya kazi na anataka kuing’arisha klabu hiyo.

 

11 years ago

GPL

Kocha Yanga atangaza anaowatema

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. SIKU chache baada ya kumalizika kwa msimu wa 2013/2014, hatimaye Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm amekamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa uongozi wa timu hiyo. Haruna Niyonzima. Pluijm ambaye…

 

10 years ago

GPL

KOCHA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI

Kocha wa timu ya Taifa Stars, Mart Nooij akitangaza majina ya wachezaji mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni kocha Mrt Nooij, Meneja wa timu Boniphace Clement pamoja na Dk Emile Richard wakiwa kwenye mkutano na wanahabari.…

 

9 years ago

StarTV

  Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.

 

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara,  ‘Kilimanjaro Stars’,  Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.

Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.

Muda wa kutengana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani