Kocha Yanga atangaza anaowatema
![](http://api.ning.com:80/files/ZymY4ttHMzXTWOGhxIggQFFui9LU78JI1pzsCKSyaELqI-ECLmSDg1QqVgSeKsnG7N8zJlUeFN3YGv6jgWmH-vp1fB7eXT9B/yanga22.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. SIKU chache baada ya kumalizika kwa msimu wa 2013/2014, hatimaye Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm amekamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa uongozi wa timu hiyo. Haruna Niyonzima. Pluijm ambaye…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kocha Toto atangaza kubwaga manyanga
10 years ago
GPLKOCHA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI
9 years ago
StarTV17 Nov
 Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.
Muda wa kutengana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6bKGt3yZ0C9BFsTciWMv*eizMHfqQZ*KHInUyjXJ2VlN5tt4BXqPsavplTWHvbLIpWL7G6URVPu0xtYmUGNFAi/1.jpg)
Maximo atangaza vikosi 2 Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGgVDzquRN-7HTTFe*mge0OQiUBejbdc4z1TZdp4m3ETacO*wdrZ1Ohg76MC7-Hg3HrAJYFYSWLMhv-8*BMM0NbI/straika.jpg)
Straika Yanga atangaza kwenda Stand
10 years ago
Habarileo14 Aug
Kocha: Yanga haijaiva
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm amesema timu yake bado haijaiva kiasi cha kuridhika kutetea taji lake la Ligi Kuu hivyo inahitajika marekebisho kidogo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA HANS AAGA YANGA
9 years ago
Habarileo18 Sep
Yanga yampa raha kocha
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amekisifu kikosi chake kwa kucheza vizuri na kupata ushindi wa nguvu wa mabao 3-0 katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.