KOCHA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI
Kocha wa timu ya Taifa Stars, Mart Nooij akitangaza majina ya wachezaji mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni kocha Mrt Nooij, Meneja wa timu Boniphace Clement pamoja na Dk Emile Richard wakiwa kwenye mkutano na wanahabari.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Kocha wa Taifa Stars afukuzwa
Kipigo cha magoli 3-0 ilichokipata timu ya taifa ya Tanzania , kimesababisha kufukuzwa kwa kocha wa timu hiyo, Mdachi Mart Nooij.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Taifa Stars yapata kocha mpya
Charles Boniface Mkwasa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania akisaidiwa na Hemed Moroco
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Kocha;Taifa Stars awashukuru watanzania
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amewashukuru watanzania walio sapoti katika mchezo dhidi ya Uganda.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s72-c/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
KOCHA MKWASA AITA 26 TIMU YA TAIFA STARS
![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s640/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yQLo3jdw1YY/U96uK8MYaNI/AAAAAAAF8rQ/MOoL21vRFII/s72-c/DSCN2744.jpg)
WASIWASI UMEIGHARIMU TAIFA STARS- KOCHA NOOIJ
![](http://3.bp.blogspot.com/-yQLo3jdw1YY/U96uK8MYaNI/AAAAAAAF8rQ/MOoL21vRFII/s1600/DSCN2744.jpg)
Taifa Stars iliruhusu bao la kwanza sekunde chache kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kutafuta tiketi ya kucheza hatua ya makundi iliyochezwa leo (Agosti 3 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa wa Zimpeto hapa Maputo.
Bao hilo katika mechi hiyo...
10 years ago
CloudsFM14 Mar
ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/4iGGfOEDaytTvsWqu-EI2X0d2SSAqVMkc89saVv56HPiDz03xp3gD8KVMqbyYSNnntF0yzq5JQZV2XO9B7YNjTRrwTp3maA-/MARSHHHHHH.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Jun
NATOA HOJA : Kama vipi kocha wa Taifa Stars afanyiwe haya
Naingia ulingoni tena katika kona ya hoja, nikiwa na machache, ninataka kuyasema. Ukweli ni kwamba leo ninataka kumzungumzia kocha wa timu ya taifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania