WASIWASI UMEIGHARIMU TAIFA STARS- KOCHA NOOIJ
![](http://3.bp.blogspot.com/-yQLo3jdw1YY/U96uK8MYaNI/AAAAAAAF8rQ/MOoL21vRFII/s72-c/DSCN2744.jpg)
Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij amesema moja ya sababu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi ya Msumbiji (Mambas) ni wachezaji wake kucheza kwa wasiwasi katika kipindi cha kwanza.
Taifa Stars iliruhusu bao la kwanza sekunde chache kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kutafuta tiketi ya kucheza hatua ya makundi iliyochezwa leo (Agosti 3 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa wa Zimpeto hapa Maputo.
Bao hilo katika mechi hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bRRgQskcmmM/VUtVkBdLwVI/AAAAAAAHV-I/SmEAtIe2wFU/s72-c/kochaaaa.jpg)
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28
![](http://3.bp.blogspot.com/-bRRgQskcmmM/VUtVkBdLwVI/AAAAAAAHV-I/SmEAtIe2wFU/s640/kochaaaa.jpg)
Tanzania (Taifa Stars), Mart NooijKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakaoingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam, kujiandaa na michuano ya kombe la COSAFA na kuwania kufuzu kwa AFCON na CHAN mwezi Juni mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF amesema, wachezaji 28 aliowaita, amewaona kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0QPKb0uheVo/VYXOhsxDyjI/AAAAAAAHh-c/B_OKXgeZuIw/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: KOCHA WA TAIFA STARS MAART NOOIJ NA BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI WATIMULIWA KAZI LEO
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015.2. Benchi lote la ufundi la Taifa Stars limevunjwa kuanzia Juni 21, 2015.3. Uongozi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oocZi0vtCoo/VFeKZww1y5I/AAAAAAAGvTg/O5_asqRrtbU/s72-c/IMG_7000.jpg)
KOCHA NOOIJ KUTAJA KIKOSI CHA STARS NOVEMBA 4
![](http://2.bp.blogspot.com/-oocZi0vtCoo/VFeKZww1y5I/AAAAAAAGvTg/O5_asqRrtbU/s1600/IMG_7000.jpg)
Nooij atatangaza kikosi hicho mbele ya waandishi wa habari katika mkutano utakaofanyika saa 4.30 asubuhi kwenye ofisi za TFF zilizoko ghorofa ya tatu, Jengo la PPF Tower jijini Dar es Salaam.
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itacheza na...
10 years ago
VijimamboCHARLES BONIFACE MKWASA ATANGAZWA KUWA KOCHA MPYA STARS NA NOOIJ AWAGA WATANZANIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGb-gREzBuBF4qtj4AQ8FSJbXkfZHiX-Q2ROlkpy9rhAB54UbneonwgW7FqAz2Kal2fosBcgFCZU1HQ8JQaUC7b4/33.gif?width=650)
Nooij amtema Ngassa Taifa Stars
10 years ago
Vijimambo07 Nov
Nooij amrejesha Mtiro Taifa Stars
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nooij-November6-2014.jpg)
Beki wa zamani wa Yanga na African Lyon, Aboubakar Mtiro, ambaye sasa anaichezea Kagera Sugar, ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) ambacho kitaingia kambini Jumatatu Novemba 10 kwa ajili ya kuelekea Swaziland kuwakabili wenyeji hao kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
Mtiro (29), ameitwa na Kocha Mkuu wa Stars, Mholanzi Mart Nooij ikiwa ni miaka nane imepita tangu aiitwe kuichezea Stars wakati huo ikinolewa na Mbrazil Marcio Maximo.
Kwa mara ya mwisho...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74471000/jpg/_74471354_96053817.jpg)
Nooij takes over Tanzania's Taifa Stars
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yp9S7eiPnLVllWmEXloqsQSYEFVvNmPWKomgIX6A6DXjw3jMeheCWAwtvSTUmJ*0K3B-GDtwHEpM9Xxmmy*RfS/taifa.jpg?width=600)
Nooij aongeza tisa Taifa Stars
10 years ago
TheCitizen31 Oct
Nooij unveils young Taifa Stars