Nooij amtema Ngassa Taifa Stars

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Mart Nooij. Na Khadija Mngwai KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Mart Nooij, amemuondoa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa katika kikosi chake kitakachoivaa Msumbiji. Mshambuliaji wa timu ya Yanga na timu ya …
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Nooij aongeza tisa Taifa Stars
Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij, ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Taarifa aliyoituma jana Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura, inasema wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT...
11 years ago
BBC
Nooij takes over Tanzania's Taifa Stars
Dutchman Mart Nooij is appointed as head coach of Tanzania's national team, the Taifa Stars on a two year contract.
10 years ago
Vijimambo07 Nov
Nooij amrejesha Mtiro Taifa Stars

Beki wa zamani wa Yanga na African Lyon, Aboubakar Mtiro, ambaye sasa anaichezea Kagera Sugar, ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) ambacho kitaingia kambini Jumatatu Novemba 10 kwa ajili ya kuelekea Swaziland kuwakabili wenyeji hao kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
Mtiro (29), ameitwa na Kocha Mkuu wa Stars, Mholanzi Mart Nooij ikiwa ni miaka nane imepita tangu aiitwe kuichezea Stars wakati huo ikinolewa na Mbrazil Marcio Maximo.
Kwa mara ya mwisho...
11 years ago
TheCitizen31 Oct
Nooij unveils young Taifa Stars
>A 29-player national team’s second string side has been unveiled by head coach Mart Nooij. All of them are aged below 23.
11 years ago
Mwananchi12 Sep
Ngassa ataka Taifa Stars ivunjwe
Winga wa zamani ya Yanga, Halfani Ngassa amesema anashangazwa na uteuzi wa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.
11 years ago
Michuzi
WASIWASI UMEIGHARIMU TAIFA STARS- KOCHA NOOIJ

Taifa Stars iliruhusu bao la kwanza sekunde chache kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kutafuta tiketi ya kucheza hatua ya makundi iliyochezwa leo (Agosti 3 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa wa Zimpeto hapa Maputo.
Bao hilo katika mechi hiyo...
11 years ago
TheCitizen07 Aug
Anxiety to blame for Taifa Stars defeat, says Nooij
>Taifa Stars head coach, Mart Nooij has singled out lack of confidence as the major factor behind his team’s defeat to Mozambique’s Mambas.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Nooij ataka umakini zaidi Taifa Stars
 Kocha wa Taifa Stars, Martinus Nooij amewaonya wachezaji wake na kuwataka waongeze umakini dakika zote 90 za mchezo, huku akiahidi ushindi ugenini dhidi ya Msumbiji.
11 years ago
TheCitizen21 Jun
AFCON: Here is Nooij’s squad for Taifa Stars clash with Mozambique
Shomari Kapombe, Mrisho Ngasa and Kelvin Yondani are the other regulars in Nooij’s 26-man squad that also includes Amri Kiemba, Erasto Nyoni, Ramadhan Singano, Said Morad and Ramadhan Singano.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania