Straika Yanga atangaza kwenda Stand

Mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi. Martha Mboma na Saphyna Mlawa MSHAMBULIAJI wa Yanga, Said Bahanuzi, amefunguka kuwa, yupo tayari kwenda kuitumikia Stand United. Mshambuliaji huyo amesema yeye hana kikwazo endapo tu timu hizo mbili zitakubaliana. Straika huyo kwa sasa hana nafasi katika kikosi cha Yanga ambayo alijiunga nayo akitokea Mtibwa Sugar. Akizungumza na Championi Jumatano, Bahanuzi alisema yupo tayari kwenda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Okwi amwondoa straika msomi Yanga
11 years ago
GPL
Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi
11 years ago
GPL
Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
10 years ago
TheCitizen29 Jul
Azam stand in Yanga’s way
11 years ago
Mwananchi27 Oct
Yanga, Stand wavunja uzio
9 years ago
TheCitizen20 Dec
Yanga put 4 past Stand United
10 years ago
TheCitizen21 Apr
Yanga face Stand United hurdle
11 years ago
Mwananchi23 Oct
Stand, Prisons wazitishia nyau Yanga, Simba