Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Straika Yanga atangaza kwenda Stand

Mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi. Martha Mboma na Saphyna Mlawa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Said Bahanuzi, amefunguka kuwa, yupo tayari kwenda kuitumikia Stand United.
Mshambuliaji huyo amesema yeye hana kikwazo endapo tu timu hizo mbili zitakubaliana. Straika huyo kwa sasa hana nafasi katika kikosi cha Yanga ambayo alijiunga nayo akitokea Mtibwa Sugar.
Akizungumza na Championi Jumatano, Bahanuzi alisema yupo tayari kwenda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Straika wa Chelsea atua Yanga

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.

Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi amwondoa straika msomi Yanga

>Ujio wa kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Emmanuel Okwi umemuweka njia panda msomi wa timu hiyo, Reliants Lusajo aliyetua kuichezea timu hiyo kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

GPL

Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi

Na Sweetbert Lukonge
YANGA kweli ngoma inogile! Ndivyo unaweza kusema, baada ya mshambuliaji mwingine kutua klabuni hapo akitokea England na kisha kuanza mazoezi chini ya Kocha Marcio Maximo. Mshambuliaji mpya wa Yanga aliyekuwa akikipiga katika timu ya Coventry City ya England Suleiman Abdallah Mbarouk. Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania ambaye amekuwa akicheza soka England kwa miaka mingi, Suleiman Abdallah Mbarouk,...

 

11 years ago

GPL

Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba

Mshambuliaji aliyetokea kukonga mioyo ya mashabiki wa Simba kwa kufumania nyavu, Betram Mwombeki(kushoto). Na Hans Mloli
STRAIKA wa Simba, Betram Mwombeki, amesema kwamba yupo tayari kuvunja mkataba na klabu hiyo endapo ataendelea kusota benchi na kukosa amani kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Mwombeki aliyesajiliwa na Simba iliyokuwa chini ya Abdallah Kibadeni msimu uliopita, alikuwa shujaa wa timu hiyo kwenye mechi kadhaa...

 

10 years ago

TheCitizen

Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Stand wavunja uzio

Mashabiki wa timu za Yanga na Stand United wameonyeshana ubabe baada ya kuvunja uzio wa Uwanja wa Kambarage uliopo katika jukwaa kuu na kuingia kinguvu.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga put 4 past Stand United

Defending champions, Young Africans, continued to dominate the top seat after beating Stand United 4-0 in the ongoing Tanzania Mainland premier league.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga face Stand United hurdle

Young Africans return to domestic league action today with a date against Stand United at the National Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Stand, Prisons wazitishia nyau Yanga, Simba

Makocha, Emmanuel Massawe wa Stand United na David Mwamaja wa Tanzania Prisons wamesema hawana presha na mechi watakazocheza Jumamosi dhidi ya Yanga na Simba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani