Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Stand wavunja uzio

Mashabiki wa timu za Yanga na Stand United wameonyeshana ubabe baada ya kuvunja uzio wa Uwanja wa Kambarage uliopo katika jukwaa kuu na kuingia kinguvu.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga face Stand United hurdle

Young Africans return to domestic league action today with a date against Stand United at the National Stadium.

 

10 years ago

GPL

Straika Yanga atangaza kwenda Stand

Mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi. Martha Mboma na Saphyna Mlawa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Said Bahanuzi, amefunguka kuwa, yupo tayari kwenda kuitumikia Stand United.
Mshambuliaji huyo amesema yeye hana kikwazo endapo tu timu hizo mbili zitakubaliana. Straika huyo kwa sasa hana nafasi katika kikosi cha Yanga ambayo alijiunga nayo akitokea Mtibwa Sugar.
Akizungumza na Championi Jumatano, Bahanuzi alisema yupo tayari kwenda...

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga put 4 past Stand United

Defending champions, Young Africans, continued to dominate the top seat after beating Stand United 4-0 in the ongoing Tanzania Mainland premier league.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Coastal, Stand zairuka kamati ya TFF

Siku chache baada ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudai klabu tatu hazijamuunga mkono wakili wa kujitegemea, Dk Damas Ndumbaro aliyefungiwa kujihusisha na soka kwa miaka saba, klabu hizo zimeibuka na kusema haziungi mkono kukatwa makato yao ya udhamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Stand, Prisons wazitishia nyau Yanga, Simba

Makocha, Emmanuel Massawe wa Stand United na David Mwamaja wa Tanzania Prisons wamesema hawana presha na mechi watakazocheza Jumamosi dhidi ya Yanga na Simba.

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015

December 19 2015 kwenye game ya ligi kuu Tanzania bara Yanga vs Stand United uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ambapo hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 4 – 0 Stand United, Matokeo ambayo yaliifanya Yanga kutimiza jumla ya point 30 na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi, tazama hii video hapa chini ujionee magoli yote… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]

The post Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015 appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya magoli ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015! Full Time 4-0

December 19 2015 ilikuwa siku nyingine kubwa kwa mashabiki wa soka la bongo, kwani ndio siku ambayo ulipigwa ule mchezo wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara Yanga dhidi ya Stand United uwanja wa Taifa Dar Es Salaam. Hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 4 – 0 Stand United, Matokeo ambayo yaliifanya Yanga kutimiza jumla ya point 30 na kuendelea […]

The post Video ya magoli ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015! Full Time 4-0 appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani