Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga face Stand United hurdle

Young Africans return to domestic league action today with a date against Stand United at the National Stadium.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Yanga put 4 past Stand United

Defending champions, Young Africans, continued to dominate the top seat after beating Stand United 4-0 in the ongoing Tanzania Mainland premier league.

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya magoli ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015! Full Time 4-0

December 19 2015 ilikuwa siku nyingine kubwa kwa mashabiki wa soka la bongo, kwani ndio siku ambayo ulipigwa ule mchezo wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara Yanga dhidi ya Stand United uwanja wa Taifa Dar Es Salaam. Hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 4 – 0 Stand United, Matokeo ambayo yaliifanya Yanga kutimiza jumla ya point 30 na kuendelea […]

The post Video ya magoli ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015! Full Time 4-0 appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015

December 19 2015 kwenye game ya ligi kuu Tanzania bara Yanga vs Stand United uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ambapo hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 4 – 0 Stand United, Matokeo ambayo yaliifanya Yanga kutimiza jumla ya point 30 na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi, tazama hii video hapa chini ujionee magoli yote… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]

The post Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015 appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Video yenye magoli yote manne ya Yanga vs Stand United ninayo hapa

Kama ulikua busy na weekend iliyopita moja ya mechi zilizokupita ni pamoja na ya Yanga vs Stand United, nimekurekodia magoli yote kwenye hii video hapa chini utayaona…. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa […]

The post Video yenye magoli yote manne ya Yanga vs Stand United ninayo hapa appeared first on...

 

9 years ago

TheCitizen

Stars eye Rwanda fall as Z'bar face cranes hurdle

The Mainland soccer team, Kilimanjaro Stars, face their first tough test when they square up against Rwanda in a group A match of the 2015 Cefaca Challenge Cup in Awassa, Ethiopia today.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbwembwe za Stand United

IMG-20141025-WA088(1)

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

 

9 years ago

TheCitizen

Maguri to leave Stand United

Stand United and national soccer team striker Elias Maguri will part ways with the Shinyanga-based club next year, it has been revealed.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KUTOKA STAND UNITED FC




Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa dhati kwetu katika michezo yetu ya ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014-2015 iliomalizika tarehe 9/05/2015.
Tunasema asanteni sana kwa michango yenu ya hali namali,kifedha,kimawazo na ushauri pia,na hasa katika kipindi kigumu ambacho tumepitia.
Ulikuwa ni msimu wetu wa kwanza kushiriki katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Liewig aibukia Stand United

>‘Ukisema cha nini, wenzio wanasema watakipata lini?’ Hiyo ndiyo kauli sahihi baada ya Stand United kusaini mkataba wa miaka mwili na kocha Patrick Liewig aliyetupiwa virago na Simba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani