Maguri to leave Stand United
Stand United and national soccer team striker Elias Maguri will part ways with the Shinyanga-based club next year, it has been revealed.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mbwembwe za Stand United
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s72-c/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
MBWEMBWE ZA TIMU YA STAND UNITED
![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s1600/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nonga aikosakosa Stand United
Paul Nonga
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Nonga amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 40, lakini ameuomba ruhusa uongozi wa timu yake mpya akamalize mambo yake kisha ajiunge rasmi na timu hiyo.
Katika mchezo wake wa mwisho akiichezea Mwadui FC, Nonga alifunga bao moja lililoiwezesha timu hiyo...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Liewig aibukia Stand United
9 years ago
Habarileo28 Oct
Ndanda FC waitisha Stand United
TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JI2rJX5ULKE/VV8mpZV6K8I/AAAAAAAA96w/i--9j8SCPLY/s72-c/MPIRA.jpg)
TAARIFA KUTOKA STAND UNITED FC
![](http://1.bp.blogspot.com/-JI2rJX5ULKE/VV8mpZV6K8I/AAAAAAAA96w/i--9j8SCPLY/s320/MPIRA.jpg)
Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa dhati kwetu katika michezo yetu ya ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014-2015 iliomalizika tarehe 9/05/2015.
Tunasema asanteni sana kwa michango yenu ya hali namali,kifedha,kimawazo na ushauri pia,na hasa katika kipindi kigumu ambacho tumepitia.
Ulikuwa ni msimu wetu wa kwanza kushiriki katika...
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Ni Mwadui FC au Stand United leo
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Stand United yashitaki mashabiki wake
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Stand United umewafungulia mashtaka mashabiki wa timu hiyo kwa kitendo kibaya walichokifanya cha kumvamia na kutaka kumpiga Kocha Mkuu Patrick Liewig juzi, baada ya kumalizika mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.
Stand ilimaliza mchezo huo kwa kupokea kichapo cha mabao 2-0, kitendo kilichoamsha hasira za mashabiki na baadhi yao kumvamia kocha huyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Liewig ajitetea Stand United kuchemsha