Liewig aibukia Stand United
>‘Ukisema cha nini, wenzio wanasema watakipata lini?’ Hiyo ndiyo kauli sahihi baada ya Stand United kusaini mkataba wa miaka mwili na kocha Patrick Liewig aliyetupiwa virago na Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Liewig ajitetea Stand United kuchemsha
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Liewig akomalia nyota Stand United
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Mume wa Irene Uwoya aibukia Stand United
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Ndikumana wa Irene Uwoya aibukia Stand United
Mshambuliaji huyo ambaye ni mume wa msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya tayari ameshatua mjini Shinyanga kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Stand.
Mmoja wa watu wa karibu wa mchezaji huyo ambao ndio wanaofanikisha mpango huo waliambia gazeti hili kuwa Ndikumana ambaye alikuwa akichezea soka la kulipwa nchini Ubelgiji atasajili kama mchezaji huru kutokana na kumalizika kwa mkataba wake.
Mshambuliaji huyo ameonyesha nia ya kutaka kucheza soka la kulipwa nchini na ndio hasa...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Liewig, viongozi Stand hawaivi
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mbwembwe za Stand United
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s72-c/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
MBWEMBWE ZA TIMU YA STAND UNITED
![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s1600/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
9 years ago
Habarileo28 Oct
Ndanda FC waitisha Stand United
TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JI2rJX5ULKE/VV8mpZV6K8I/AAAAAAAA96w/i--9j8SCPLY/s72-c/MPIRA.jpg)
TAARIFA KUTOKA STAND UNITED FC
![](http://1.bp.blogspot.com/-JI2rJX5ULKE/VV8mpZV6K8I/AAAAAAAA96w/i--9j8SCPLY/s320/MPIRA.jpg)
Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa dhati kwetu katika michezo yetu ya ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014-2015 iliomalizika tarehe 9/05/2015.
Tunasema asanteni sana kwa michango yenu ya hali namali,kifedha,kimawazo na ushauri pia,na hasa katika kipindi kigumu ambacho tumepitia.
Ulikuwa ni msimu wetu wa kwanza kushiriki katika...