Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liewig ajitetea Stand United kuchemsha

Wakati uongozi wa Stand United ukiwakingia kifua mashabiki wa timu hiyo kwa kumfanyia vurugu kocha, Patrick Liewig mwenyewe amesema uwezo wake hauwezi kupimwa kwa mechi mbili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Liewig aibukia Stand United

>‘Ukisema cha nini, wenzio wanasema watakipata lini?’ Hiyo ndiyo kauli sahihi baada ya Stand United kusaini mkataba wa miaka mwili na kocha Patrick Liewig aliyetupiwa virago na Simba.

 

9 years ago

Mwananchi

Liewig akomalia nyota Stand United

Kocha mkuu wa Stand United, Patrick Liewig amesema ataendelea kufanya kazi zake kwa weledi , hakuna mchezaji mkubwa kuliko klabu.

 

9 years ago

Mwananchi

Liewig, viongozi Stand hawaivi

Wakati uongozi wa Stand United ya Shinyanga ukionekana kuanza kumchoka kocha Patrick Liewing kutokana na msimamo wake,   yeye amebainisha kutotetereka na ataendelea kufanya kazi yake kwa weledi. Liewig ameingia kwenye mgogoro na wasaidizi wake huku mwenyekiti wa klabu hiyo, Amani Vincent akimzungumzia kuwa kocha asiyeshaurika, mkali na anayefanya kazi pasipo kuwaamini wasaidizi wake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbwembwe za Stand United

IMG-20141025-WA088(1)

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni Mwadui FC au Stand United leo

Hatima ya Mwadui  FC  au Stand United zote za Shinyanga kwa mojawapo kupanda au kutopanda kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao itajulikana leo katika michezo ya mwisho ya Kundi C.

 

9 years ago

Global Publishers

Nonga aikosakosa Stand United

DSCF0654 Paul Nonga

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Nonga amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 40, lakini ameuomba ruhusa uongozi wa timu yake mpya akamalize mambo yake kisha ajiunge rasmi na timu hiyo.
Katika mchezo wake wa mwisho akiichezea Mwadui FC, Nonga alifunga bao moja lililoiwezesha timu hiyo...

 

9 years ago

Habarileo

Ndanda FC waitisha Stand United

TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.

 

9 years ago

TheCitizen

Maguri to leave Stand United

Stand United and national soccer team striker Elias Maguri will part ways with the Shinyanga-based club next year, it has been revealed.

 

10 years ago

Michuzi

MBWEMBWE ZA TIMU YA STAND UNITED

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani