Liewig ajitetea Stand United kuchemsha
Wakati uongozi wa Stand United ukiwakingia kifua mashabiki wa timu hiyo kwa kumfanyia vurugu kocha, Patrick Liewig mwenyewe amesema uwezo wake hauwezi kupimwa kwa mechi mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Liewig aibukia Stand United
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Liewig akomalia nyota Stand United
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Liewig, viongozi Stand hawaivi
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mbwembwe za Stand United
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Ni Mwadui FC au Stand United leo
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nonga aikosakosa Stand United
Paul Nonga
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Nonga amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 40, lakini ameuomba ruhusa uongozi wa timu yake mpya akamalize mambo yake kisha ajiunge rasmi na timu hiyo.
Katika mchezo wake wa mwisho akiichezea Mwadui FC, Nonga alifunga bao moja lililoiwezesha timu hiyo...
9 years ago
Habarileo28 Oct
Ndanda FC waitisha Stand United
TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.
9 years ago
TheCitizen30 Dec
Maguri to leave Stand United
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s72-c/IMG-20141025-WA088(1).jpg)
MBWEMBWE ZA TIMU YA STAND UNITED
![](http://3.bp.blogspot.com/-2nA5zGlSVUI/VEwAaWYqKdI/AAAAAAAASs8/J69n3iwsDO4/s1600/IMG-20141025-WA088(1).jpg)