Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stand United yashitaki mashabiki wake

b3NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa timu ya Stand United umewafungulia mashtaka mashabiki wa timu hiyo kwa kitendo kibaya walichokifanya cha kumvamia na kutaka kumpiga Kocha Mkuu Patrick Liewig juzi, baada ya kumalizika mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

Stand ilimaliza mchezo huo kwa kupokea kichapo cha mabao 2-0, kitendo kilichoamsha hasira za mashabiki na baadhi yao kumvamia kocha huyo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mbwembwe za Stand United

IMG-20141025-WA088(1)

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KUTOKA STAND UNITED FC




Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa dhati kwetu katika michezo yetu ya ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka 2014-2015 iliomalizika tarehe 9/05/2015.
Tunasema asanteni sana kwa michango yenu ya hali namali,kifedha,kimawazo na ushauri pia,na hasa katika kipindi kigumu ambacho tumepitia.
Ulikuwa ni msimu wetu wa kwanza kushiriki katika...

 

9 years ago

Habarileo

Ndanda FC waitisha Stand United

TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.

 

9 years ago

Global Publishers

Nonga aikosakosa Stand United

DSCF0654 Paul Nonga

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Nonga amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 40, lakini ameuomba ruhusa uongozi wa timu yake mpya akamalize mambo yake kisha ajiunge rasmi na timu hiyo.
Katika mchezo wake wa mwisho akiichezea Mwadui FC, Nonga alifunga bao moja lililoiwezesha timu hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

MBWEMBWE ZA TIMU YA STAND UNITED

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

 

10 years ago

Mwananchi

Liewig aibukia Stand United

>‘Ukisema cha nini, wenzio wanasema watakipata lini?’ Hiyo ndiyo kauli sahihi baada ya Stand United kusaini mkataba wa miaka mwili na kocha Patrick Liewig aliyetupiwa virago na Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni Mwadui FC au Stand United leo

Hatima ya Mwadui  FC  au Stand United zote za Shinyanga kwa mojawapo kupanda au kutopanda kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao itajulikana leo katika michezo ya mwisho ya Kundi C.

 

9 years ago

TheCitizen

Maguri to leave Stand United

Stand United and national soccer team striker Elias Maguri will part ways with the Shinyanga-based club next year, it has been revealed.

 

10 years ago

Raia Tanzania

‘Mkwanja’ waitia wazimu Stand United

BAADA ya kuingia mkataba wa miaka miwili na kampuni ya madini Acacia Mining, uongozi wa timu ya Stand United ya Shinyanga, umesema una fedha za kumsajili mchezaji yeyote ndani ya Afrika Mashariki na Kati.

Mkataba huo uliosainiwa juzi umeifanya timu hiyo iliyopanda daraja msimu wa 2013/014, kupokea kiasi cha bil.2.4, kutoka kampuni hiyo.

Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa ufundi wa kikosi hicho, Muhibu Kanu alisema, wanashukuru kuona neema nzuri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani