Okwi amwondoa straika msomi Yanga
>Ujio wa kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Emmanuel Okwi umemuweka njia panda msomi wa timu hiyo, Reliants Lusajo aliyetua kuichezea timu hiyo kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGgVDzquRN-7HTTFe*mge0OQiUBejbdc4z1TZdp4m3ETacO*wdrZ1Ohg76MC7-Hg3HrAJYFYSWLMhv-8*BMM0NbI/straika.jpg)
Straika Yanga atangaza kwenda Stand
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Msomi atoswa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBK-w-8RNaYId9xY-bJ6nPiwF3cbW2YkuFYpwlXrBf0sdvmPnjny6r7R*QcArCxAOIApNq7BjLCl6MI7LWMLL*5/straika.jpg)
Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFWqgx6ogGYLtswgl*DWrRWjcCPX0RD9lNfFNcWA5qndKH3Rp*iUgfEUqkoKF*j8beSsXC4HutkTmMDMJiG4zJR/STRAIKA.gif?width=650)
Straika aliyeiua Yanga avunja mkataba Simba
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Yanga kumshtaki Okwi
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Mar
Okwi aituliza Yanga
NA VICTOR MKUMBO BAO pekee lililofungwa dakika ya 51 na Emmanuel Okwi, limeiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0, katika mchezo wa Ligi Kuu ulioikutanisha timu hiyo na Yanga. Okwi alipachika bao hilo kwa shuti kali la mbali baada ya kumchungulia Bartez aliyetoka nje ya lango na mpira huo kujaa moja kwa moja wavuni. Ushindi huo unaipa jeuri Simba ya kuendelea kuwatambia mahasimu wao ambao wamekuwa wakiibeza Simba baada ya kufanya vibaya katika baadhi ya michezo yake ya ligi. Katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-2YiV16Uwlx-OTxx40PAq1FjGAtQhAaVxlQAc*hLTk2L0vuGWF1pYrRvSjQw3L7ceYBur27P-rCG5h8A2*w*Ksq/1Dar1copy.jpg?width=650)
Okwi asaini Yanga SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-35ea58qFejI*QhuCRY4Z8HRXpSVdgLXKuN3aLNLOA2aGk-fddAcdqc3y2VOZ3Qo-kZJVps6tJzWQHRVpvfmKY3/okwi.jpg?width=640)
OKWI ATUA YANGA SC