Advocaat kubwaga manyanga,Sunderland
Kocha wa timu ya soka Sunderland ya England, Dick Advocaat ametangaza kubwaga manyanga kuendelea kuifundisha klabu hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Kocha wa Dortmund kubwaga manyanga.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kocha Toto atangaza kubwaga manyanga
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LFlMpSmOZew/VFiv_vt5V-I/AAAAAAACuVo/h6NbULc5Ekc/s72-c/IMG_4530.jpg)
MAKATIBU WA CCM VUNJO WATAKA KUBWAGA MANYANGA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LFlMpSmOZew/VFiv_vt5V-I/AAAAAAACuVo/h6NbULc5Ekc/s1600/IMG_4530.jpg)
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, viongozi hao ngazi ya kata katika wilaya ya Moshi vijijini, walisema migogoro na malumbano ndani ya CCM imekuwa chanzo cha wapinzani kushinda kiurahisi katika Jimbo la Vunjo. Mmoja wa viongozi wa...
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Dick Advocaat ateuliwa kocha Sunderland
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kikwete abwaga manyanga
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amekubaliana na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwamba Bunge Maalumu la Katiba, liishie Oktoba 4, 2014. Kurejea kwa bunge hilo kutategemea ridhaa ya rais...
11 years ago
Mwananchi09 May
Pluijm abwaga manyanga
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Serikali yabwaga manyanga IPTL
SERIKALI imebwaga manyanga kuhusu ripoti ya uchunguzi ya kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200, ambako sasa imeamua kuileta Bungeni. Ripoti hiyo inatarajiwa...
9 years ago
Habarileo13 Nov
Matola abwaga manyanga Simba
HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Paulo Wanchope abwaga manyanga