Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yabwaga manyanga IPTL

SERIKALI imebwaga manyanga kuhusu ripoti ya uchunguzi ya kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200, ambako sasa imeamua kuileta Bungeni. Ripoti hiyo inatarajiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL yaipasua kichwa Serikali

WIKI moja baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, kutangaza operesheni ya nchi nzima ya kudai ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu sakata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajibebesha ‘madudu’ ya IPTL

DANADANA zinazopigwa na viongozi wakuu wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kutafuta ukweli wa sakata la uuzwaji wa hisa za kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Independent Power...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utata wa Serikali kwa IPTL

WAKATI Harbinder Sing Sethi, anadai alinunua asilimia 70 ya hisa za Mechmar kwa kiasi cha sh. milioni 500 ($300,000) ndani ya wiki tatu tu tangu hisa hizo kuuzwa kwa kampuni...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

10 years ago

Tanzania Daima

Lipumba aonya serikali kuhusu IPTL, deni MSD

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka serikali kuacha mzaha wa kuchezea maisha ya watanzania katika upatikanaji wa mahitaji muhimu, ikiwa ni pamoja na dawa za tiba mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali

>Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ufafanuzi wa sakata la uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu na kutangaza kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya viongozi na watendaji, nchi wahisani wamesema bado suala hilo linawachanganya na wanasubiri tamko la Serikali.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo.
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm abwaga manyanga

>Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm amebwaga manyanga kuendelea kuinoa timu hiyo baada ya kupata ‘ofa’ ya kuinoa klabu ya Al Shoala Sports ya Saudi Arabia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani