Serikali yajibebesha ‘madudu’ ya IPTL
DANADANA zinazopigwa na viongozi wakuu wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kutafuta ukweli wa sakata la uuzwaji wa hisa za kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Independent Power...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Madudu ya Serikali
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
UKAGUZI maalumu uliofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kwa mwaka wa fedha 2014/15 umeibua ufisadi mkubwa katika wizara, idara, wakala za serikali, halmashauri, taasisi na mashirika ya umma.
Katika ukaguzi huo, Wizara ya Ujenzi imegundulika kuwa imefanya malipo hewa ya Sh milioni 951.7 yaliyolipwa kwa
makandarasi kwa kazi ambayo haikufanywa, huku Wizara ya Maliasili ikiwa na malipo hewa ya zaidi ya Sh milioni 156 kupitia Shirika la Hifadhi...
10 years ago
StarTV17 Dec
Madudu uchaguzi serikali za mitaa, wakurugenzi watimuliwa.
Na Mwandishi Maalum.
Serikali imetengua uteuzi wa Wakurugenzi sita wa Halmashauri, na kuwasimamisha kazi wengine watano kupisha uchunguzi, kutokana
na kubainika kuchangia kuvurugika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika tarehe 14, mwezi huu.
Akitangaza hatua hiyo kufuatia ripoti iliyoibua madudu yaliyofanyika katika uchaguzi huo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Hawa Ghasia amesema uamuzi huo pia umeridhiwa na Rais Jakaya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Utata wa Serikali kwa IPTL
WAKATI Harbinder Sing Sethi, anadai alinunua asilimia 70 ya hisa za Mechmar kwa kiasi cha sh. milioni 500 ($300,000) ndani ya wiki tatu tu tangu hisa hizo kuuzwa kwa kampuni...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
IPTL yaipasua kichwa Serikali
WIKI moja baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, kutangaza operesheni ya nchi nzima ya kudai ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu sakata...
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Serikali yabwaga manyanga IPTL
SERIKALI imebwaga manyanga kuhusu ripoti ya uchunguzi ya kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200, ambako sasa imeamua kuileta Bungeni. Ripoti hiyo inatarajiwa...
10 years ago
Mtanzania23 Oct
Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Lipumba aonya serikali kuhusu IPTL, deni MSD
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka serikali kuacha mzaha wa kuchezea maisha ya watanzania katika upatikanaji wa mahitaji muhimu, ikiwa ni pamoja na dawa za tiba mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB02 Oct
10 years ago
Mwananchi11 Jan
SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali