Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata wa Serikali kwa IPTL

WAKATI Harbinder Sing Sethi, anadai alinunua asilimia 70 ya hisa za Mechmar kwa kiasi cha sh. milioni 500 ($300,000) ndani ya wiki tatu tu tangu hisa hizo kuuzwa kwa kampuni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa IPTL utata mtupu

WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....

 

11 years ago

Mwananchi

Muhongo aongeza utata mabilioni ya IPTL

Wakati utata wa kuchotwa kwa fedha katika Akaunti ya Escrow iliyofunguliwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutokana na mgogoro baina ya IPTL na Tanesco ukiendelea kuzua maswali, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema fedha hizo hazikuwa za Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyumba za Serikali zazua utata

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya imegundua viwanja na nyumba zaidi ya 10 za Serikali zikitumiwa na watu binafsi katika mazingira ya kutatanisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Uamuzi wa Serikali waingia utata

Wakati sekta ya afya ikikabiliwa na upungufu wa wataalamu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesitisha ajira za wataalamu 204 wa maabara walioajiriwa mwishoni mwa mwaka jana kwa madai kuwa hawana vigezo vya kufanya kazi katika maabara za binadamu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumba ya serikali ilivyozua utata

NYUMBA ya serikali iliyouzwa kwenye mnada kwa kiasi cha sh milioni 250 kwa amri ya Mahakama ya Wilaya ya Mbeya na kupingwa, Mahakama Kuu haifahamu fedha hizo mahali zilipohifadhiwa. Licha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fomu Serikali za mitaa utata

WAKATI fomu za kugombea ujumbe wa Serikali za Mitaa zikianza kutolewa rasmi jana, zimelalamikiwa na vyama vya siasa kwamba maelezo yake yanatatanisha hususani kifungu cha 21 na 22, ambako mgombea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ya Muungano bila Magereza utata mwingine

MJADALA juu ya uundwaji wa katiba mpya unaendelea kushika kasi baada ya rasimu ya pili kuwasilishwa serikalini Desemba 30, 2013. Kama nilivyosema katika toleo lililopita, kwamba suala la muundo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajibebesha ‘madudu’ ya IPTL

DANADANA zinazopigwa na viongozi wakuu wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kutafuta ukweli wa sakata la uuzwaji wa hisa za kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Independent Power...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yabwaga manyanga IPTL

SERIKALI imebwaga manyanga kuhusu ripoti ya uchunguzi ya kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200, ambako sasa imeamua kuileta Bungeni. Ripoti hiyo inatarajiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani