Muhongo aongeza utata mabilioni ya IPTL
Wakati utata wa kuchotwa kwa fedha katika Akaunti ya Escrow iliyofunguliwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutokana na mgogoro baina ya IPTL na Tanesco ukiendelea kuzua maswali, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema fedha hizo hazikuwa za Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Chenge, Tibaijuka, Kilaini walipuliwa mabilioni ya IPTL
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kashfa IPTL utata mtupu
WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Utata wa Serikali kwa IPTL
WAKATI Harbinder Sing Sethi, anadai alinunua asilimia 70 ya hisa za Mechmar kwa kiasi cha sh. milioni 500 ($300,000) ndani ya wiki tatu tu tangu hisa hizo kuuzwa kwa kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Maswali saba kwa Waziri Muhongo kuhusu ufisadi IPTL
IFAHAMIKE kwamba ufisadi katika Akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), msingi wake ni mkataba wa kifisadi wa IPTL uliosainiwa mwaka...
10 years ago
GPLSOMA TAARIFA YA PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HSuUDFknyEQ/U-2bMXdFksI/AAAAAAAF_uc/6rgPuiaI4MM/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3fAndsl8qFD6fuLHWPGbGcaxyJPb32tML2dwYVfRw7v*iBrsJCmgn68p4QZGyy888PFGh7ihFsNjeQWR7Mmk2rn/plujum.gif?width=650)
Pluijm aongeza nane...
10 years ago
Habarileo07 Aug
Wawa aongeza mkataba Azam
BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.