Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco

Wakati haijafahamika nani aliyelipwa mabilioni ya shilingi yaliyokuwa kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kutokana na mvutano baina ya Tanesco na Kampuni ya IPTL, imebainika kuwa Bunge liliwahi kuagiza fedha hizo zisichukuliwe mpaka mitambo ya IPTL itakapokuwa chini ya Tanesco mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

UDA giza nene

KAMATI ya Haki Kinga na Madaraka ya Bunge, imeanza kazi ya kuchunguza na kumhoji mmiliki wa kampuni ya usafiri ya mabasi jijini Dar es Salaam, Robert Kisena. Kisena, anadaiwa kuwatuhumu...

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars giza nene

TIMU ya taifa soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars jana ilishindwa kwenda Congo Brazzaville, kushiriki Michezo ya Mataifa ya Afrika kwa sababu ya ukata, imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu giza nene

Kadiri siku zinavyosogea kitendawili kuhusu hatima ya Bunge Maalumu kimeendelea kuwa kigumu na sasa kinachosubiriwa ni matokeo ya mkutano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Giza nene Bunge la Katiba

MATUMAINI ya Bunge Maalum la Katiba kuendelea na vikao vyake mpaka mwisho, yanazidi kufifia kutokana na jitihada za mashauriano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa...

 

11 years ago

Mwananchi

Giza nene latanda ndani ya Chadema

>Giza nene limeendelea kutanda ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya juzi kulazimika kuongeza muda wa kikao cha Kamati Kuu kusubiri uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake Zitto Kabwe.

 

10 years ago

Mwananchi

Giza nene zaidi makada urais CCM

Dar es Salaam. Hali bado ni tete kwa makada sita waliofungiwa na CCM kujihusisha na masuala ya uchaguzi baada ya chama hicho tawala kueleza kuwa mchakato wa kuwachunguza haujakamilika na adhabu yao inaweza kuendelea hata baada ya vikao vya juu vitakavyofanyika mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Muhongo aongeza utata mabilioni ya IPTL

Wakati utata wa kuchotwa kwa fedha katika Akaunti ya Escrow iliyofunguliwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutokana na mgogoro baina ya IPTL na Tanesco ukiendelea kuzua maswali, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema fedha hizo hazikuwa za Serikali.

 

5 years ago

Michuzi

TANESCO Kuvuna Mabilioni Geita


Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa Mradi wa kusafirisha umeme kutoka Bulyanhulu hadi Geita kilovolti 220 amesema TANESCO inatarajia kukusanya takriban Shilingi bilioni 6 za ziada katika mauzo ya umeme Mkoani Geita.

Dkt. Mwinuka alisema kiasi hicho cha fedha ni kutoka katika Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) baada ya Mgodi huo kuunganishwa na kuongeza  GGM bado unatumia umeme ghali wa mafuta mazito ukilinganisha na umeme wa TANESCO...

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge, Tibaijuka, Kilaini walipuliwa mabilioni ya IPTL

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imewataja vigogo wa serikali, wanasiasa na viongozi wa dini watatu walionufaika na uchotwaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow na jinsi baadhi walivyotumia mifuko ya plastiki kuzibeba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani