Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco
Wakati haijafahamika nani aliyelipwa mabilioni ya shilingi yaliyokuwa kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kutokana na mvutano baina ya Tanesco na Kampuni ya IPTL, imebainika kuwa Bunge liliwahi kuagiza fedha hizo zisichukuliwe mpaka mitambo ya IPTL itakapokuwa chini ya Tanesco mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 May
UDA giza nene
KAMATI ya Haki Kinga na Madaraka ya Bunge, imeanza kazi ya kuchunguza na kumhoji mmiliki wa kampuni ya usafiri ya mabasi jijini Dar es Salaam, Robert Kisena. Kisena, anadaiwa kuwatuhumu...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Twiga Stars giza nene
TIMU ya taifa soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars jana ilishindwa kwenda Congo Brazzaville, kushiriki Michezo ya Mataifa ya Afrika kwa sababu ya ukata, imeelezwa.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Bunge Maalumu giza nene
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Giza nene Bunge la Katiba
MATUMAINI ya Bunge Maalum la Katiba kuendelea na vikao vyake mpaka mwisho, yanazidi kufifia kutokana na jitihada za mashauriano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Giza nene latanda ndani ya Chadema
10 years ago
Mwananchi17 May
Giza nene zaidi makada urais CCM
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Muhongo aongeza utata mabilioni ya IPTL
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
TANESCO Kuvuna Mabilioni Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BkX33Mh4PhQ/XuUJ8WNvI8I/AAAAAAALtso/-N18WwqRhiIyyOLfJc7iMtddJlCoSKinwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa Mradi wa kusafirisha umeme kutoka Bulyanhulu hadi Geita kilovolti 220 amesema TANESCO inatarajia kukusanya takriban Shilingi bilioni 6 za ziada katika mauzo ya umeme Mkoani Geita.
Dkt. Mwinuka alisema kiasi hicho cha fedha ni kutoka katika Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) baada ya Mgodi huo kuunganishwa na kuongeza GGM bado unatumia umeme ghali wa mafuta mazito ukilinganisha na umeme wa TANESCO...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Chenge, Tibaijuka, Kilaini walipuliwa mabilioni ya IPTL