Giza nene Bunge la Katiba
MATUMAINI ya Bunge Maalum la Katiba kuendelea na vikao vyake mpaka mwisho, yanazidi kufifia kutokana na jitihada za mashauriano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Bunge Maalumu giza nene
11 years ago
Tanzania Daima26 May
UDA giza nene
KAMATI ya Haki Kinga na Madaraka ya Bunge, imeanza kazi ya kuchunguza na kumhoji mmiliki wa kampuni ya usafiri ya mabasi jijini Dar es Salaam, Robert Kisena. Kisena, anadaiwa kuwatuhumu...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Twiga Stars giza nene
TIMU ya taifa soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars jana ilishindwa kwenda Congo Brazzaville, kushiriki Michezo ya Mataifa ya Afrika kwa sababu ya ukata, imeelezwa.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Giza nene latanda ndani ya Chadema
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco
10 years ago
Mwananchi17 May
Giza nene zaidi makada urais CCM
10 years ago
Vijimambo11 Mar
Giza totoro kura ya maoni katiba mpya.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lubuva-10March2015.jpg)
Baadhi ya wanazuoni, viongozi wa dini, wanasiasa na wanaharakati wamesema hakuna muujiza wowote unaoweza kufanyika hivi sasa kufanikisha kura ya maoni Aprili 30, mwaka huu.
Wamesema kulazimisha kura ya maoni kama ilivyotangazwa ni sawa na ‘kuchochea fujo’, jambo linaloweza kuepukika.
Wakizungumza na NIPASHE kwa nyakati tofauti jana, walisema nchi imegawanyika vipande vipande, huku wengine wakipinga mchakato wote, hivyo kulazimisha kura ni kuendelea kuligawa...
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA