Bunge Maalumu giza nene
Kadiri siku zinavyosogea kitendawili kuhusu hatima ya Bunge Maalumu kimeendelea kuwa kigumu na sasa kinachosubiriwa ni matokeo ya mkutano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Giza nene Bunge la Katiba
MATUMAINI ya Bunge Maalum la Katiba kuendelea na vikao vyake mpaka mwisho, yanazidi kufifia kutokana na jitihada za mashauriano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
UDA giza nene
KAMATI ya Haki Kinga na Madaraka ya Bunge, imeanza kazi ya kuchunguza na kumhoji mmiliki wa kampuni ya usafiri ya mabasi jijini Dar es Salaam, Robert Kisena. Kisena, anadaiwa kuwatuhumu...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Twiga Stars giza nene
TIMU ya taifa soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars jana ilishindwa kwenda Congo Brazzaville, kushiriki Michezo ya Mataifa ya Afrika kwa sababu ya ukata, imeelezwa.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Giza nene latanda ndani ya Chadema
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco
10 years ago
Mwananchi17 May
Giza nene zaidi makada urais CCM
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Bunge Maalumu vuluvulu
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba