Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Muungano bila Magereza utata mwingine

MJADALA juu ya uundwaji wa katiba mpya unaendelea kushika kasi baada ya rasimu ya pili kuwasilishwa serikalini Desemba 30, 2013. Kama nilivyosema katika toleo lililopita, kwamba suala la muundo wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rorya bila mahakama, magereza imeikosea nini Serikali?

Nimejiuliza swali hili mara mara nyingi ni lini Serikali itajenga mahakama na magereza katika wilaya mpya ya Rorya mkoani Mara?

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano

VYAMA vya siasa  vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho  ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LAWATAKA WANANCHI KUTII SHERIA BILA KUSHURUTISHWA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
JESHI la Magereza limeeleza kusikitishwa na kitendo cha viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushindwa kutii sheria bila shuruti na kuhatarisha usalama wa wafungwa, askari na mali za Jeshi la Magereza na hiyo ni baada ya watu wanaoaminika kuwa ni wafuasi na viongozi wa chama hicho wakiwa katika msururu ya magari binafsi na gari za kubeba abiria kufika katika eneo la gereza la Segerea na kutaka kuingia bila utaratibu.
Taarifa ...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]

>Hoja hiyo iliibuliwa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliyeshauri kanuni ya 4 ya kuliendesha Bunge hilo Maalum irekebishwe ili wajumbe wapate nyaraka au taarifa yeyote wanayoihitaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Kauli za Shivji juu ya Muungano ndani ya #Katiba Mpya zaleta utata Dodoma [VIDEO]

“Hawa wanaosema Muungano utavunjika – kwa hoja gani?,” amehoji Mnyaa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuna maiti ya muungano bila kujua

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi Ijumaa mjini Dodoma, walishuhudia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikishinikiza matakwa yake katika utungaji wa Katiba Mpya. Walimwona Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani