Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamuzi wa Serikali waingia utata

Wakati sekta ya afya ikikabiliwa na upungufu wa wataalamu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesitisha ajira za wataalamu 204 wa maabara walioajiriwa mwishoni mwa mwaka jana kwa madai kuwa hawana vigezo vya kufanya kazi katika maabara za binadamu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Watendaji wa Serikali Ulanga waingia lawamani.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Ulanga-Morogoro.

Kanisa katoliki jimbo la Ulanga mkoani Morogogo limeeleza kusikitishwa na hatua ya watendaji wa Serikali wilayani humo kuingilia maeneo yanayomilikiwa kisheria na kanisa hilo na kuamua kujenga makazi ya kudumu.

 

Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Ulanga Mhashamu Josephat Ndirobo alitoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wa mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe kwenye mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa dini, Serikali na wa kisiasa.

 

Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ifanye uamuzi mgumu, ibane matumizi

Taarifa kwamba bajeti ya Serikali kwa mwaka unaomalizika, yaani 2013/14 ina upungufu wa Sh1.8 trilioni ni za kushtua na kunahitajika uamuzi mgumu kama tunataka tusonge mbele.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utata wa Serikali kwa IPTL

WAKATI Harbinder Sing Sethi, anadai alinunua asilimia 70 ya hisa za Mechmar kwa kiasi cha sh. milioni 500 ($300,000) ndani ya wiki tatu tu tangu hisa hizo kuuzwa kwa kampuni...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyumba za Serikali zazua utata

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya imegundua viwanja na nyumba zaidi ya 10 za Serikali zikitumiwa na watu binafsi katika mazingira ya kutatanisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumba ya serikali ilivyozua utata

NYUMBA ya serikali iliyouzwa kwenye mnada kwa kiasi cha sh milioni 250 kwa amri ya Mahakama ya Wilaya ya Mbeya na kupingwa, Mahakama Kuu haifahamu fedha hizo mahali zilipohifadhiwa. Licha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fomu Serikali za mitaa utata

WAKATI fomu za kugombea ujumbe wa Serikali za Mitaa zikianza kutolewa rasmi jana, zimelalamikiwa na vyama vya siasa kwamba maelezo yake yanatatanisha hususani kifungu cha 21 na 22, ambako mgombea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ya Muungano bila Magereza utata mwingine

MJADALA juu ya uundwaji wa katiba mpya unaendelea kushika kasi baada ya rasimu ya pili kuwasilishwa serikalini Desemba 30, 2013. Kama nilivyosema katika toleo lililopita, kwamba suala la muundo wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa

KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI

Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.Hali ya kushtusha imetokea katika uchaguzi wa Serikali ya Mtaa wa Migombani  baada ya Afisa Mtendaji  kufika  na kutangaza kimyakimya Kuwa UChaguzi huo umesitishwaMara baada ya wakazi wa mtaa wa migombani kusikia ndipo walipoanza sasa kutafuta mchawi na kumtia nguvuni afisa mtendaji huyo wa mtaa kwa kutaka kujua sababu za msingi zinazopelekea yeye kuja kutangaza kusitisha uchaguzi huo.Afisa mtendaji huyo baada ya kuulizwa sababu za msingi alijitetea kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani