Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madudu ya Serikali

mtz1NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

UKAGUZI maalumu uliofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kwa mwaka wa fedha 2014/15 umeibua ufisadi mkubwa katika wizara, idara, wakala za serikali, halmashauri, taasisi na mashirika ya umma.

Katika ukaguzi huo, Wizara ya Ujenzi imegundulika kuwa imefanya malipo hewa ya Sh milioni 951.7 yaliyolipwa kwa
makandarasi kwa kazi ambayo haikufanywa, huku Wizara ya Maliasili ikiwa na malipo hewa ya zaidi ya Sh milioni 156 kupitia Shirika la Hifadhi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajibebesha ‘madudu’ ya IPTL

DANADANA zinazopigwa na viongozi wakuu wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kutafuta ukweli wa sakata la uuzwaji wa hisa za kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Independent Power...

 

10 years ago

StarTV

Madudu uchaguzi serikali za mitaa, wakurugenzi watimuliwa.

Na Mwandishi Maalum.

Serikali imetengua uteuzi wa Wakurugenzi sita wa Halmashauri, na kuwasimamisha kazi wengine watano kupisha uchunguzi, kutokana
na kubainika kuchangia kuvurugika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika tarehe 14, mwezi huu.

Akitangaza hatua hiyo kufuatia ripoti iliyoibua madudu yaliyofanyika katika uchaguzi huo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Hawa Ghasia amesema uamuzi huo pia umeridhiwa na Rais Jakaya...

 

10 years ago

Mtanzania

Madudu elimu ya msingi

Pg 1Na Mariam Mkumbaru, Dar es Salaam
KATIKA hali isiyo ya kawaida, zaidi ya wanafunzi 459 wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Saku iliyopo Chamazi, Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, wanasoma katika darasa moja.
Hali hiyo ya wanafunzi kusoma katika darasa moja na wengine chini ya miti inayozunguka shule hiyo, inachangiwa na upungufu wa majengo ya shule hiyo ambayo ina vyumba saba vya madarasa huku ikiwa na zaidi ya wanafunzi 2,038.
Akizungumza na MTANZANIA ambayo ilifika shuleni...

 

10 years ago

Mwananchi

Madudu zaidi meno ya tembo

Wakati maofisa wa Serikali za Tanzania na China wakipuuza tuhuma zinazohusisha ziara ya Rais wa China, Xi Jinping na utoroshaji wa meno ya tembo, ripoti hiyo imeanika madudu mengi ikionyesha jinsi nyara hizo zinavyotoroshwa nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Madudu katika elimu yaendelea

WABUNGE wamesema hali ya elimu nchini ni mbaya na kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu ili kuangalia ubora na kudhibiti sekta hiyo muhimu.

 

9 years ago

Mwananchi

Madudu ya Shule ya Msingi Kitarungu

Ni saa nne asubuhi nawasili katika Shule ya Msingi Kitarungu iliyopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.

 

10 years ago

Mwananchi

Madudu yatikisa Bunge la Kumi

Bunge la 10 likielekea ukingoni baada ya kupitisha Bajeti ya Serikali leo, mambo matatu mazito yametajwa kama ‘madudu’ yaliyoleta mtikisiko na kuonekana kama ishara ya kuisimamia Serikali na kusababisha baadhi ya mawaziri kupoteza nafasi zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chenge aibua madudu bajeti

MWENYEKITI wa Kamati ya Bajeti, Andrew Chenge, ameibua madudu makubwa kwenye bajeti ya mwaka 2014/2015 ambapo amesema ina pengo la sh trilioni 4.9 sawa na asilimia 24. Chenge alisema bajeti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madudu mapya jengo la Tafico

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imejenga uzio kwa ajili ya kuzuia kuanguka kwa jengo la lililokuwa Shirika la Uvuvi nchini (Tafico) ambalo hivi karibuni gazeti hili liliripoti kukaribia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani