Madudu katika elimu yaendelea
WABUNGE wamesema hali ya elimu nchini ni mbaya na kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu ili kuangalia ubora na kudhibiti sekta hiyo muhimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziPPF KANDA YA KINONDONI YAENDELEA KUTOA ELIMU KATIKA MAONESHO YA 2 YA KIBIASHARA YA TANGA
10 years ago
MichuziWIZARA YA NISHATI NA MADINI YAENDELEA KUMWAGA ELIMU KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2015
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Madudu elimu ya msingi
Na Mariam Mkumbaru, Dar es Salaam
KATIKA hali isiyo ya kawaida, zaidi ya wanafunzi 459 wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Saku iliyopo Chamazi, Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, wanasoma katika darasa moja.
Hali hiyo ya wanafunzi kusoma katika darasa moja na wengine chini ya miti inayozunguka shule hiyo, inachangiwa na upungufu wa majengo ya shule hiyo ambayo ina vyumba saba vya madarasa huku ikiwa na zaidi ya wanafunzi 2,038.
Akizungumza na MTANZANIA ambayo ilifika shuleni...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Mbatia azidi kuanika madudu ya elimu
MBUNGE wa kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), amesema wasilaumiwe walimu na wanafunzi kwa matokeo mabaya katika sekta ya elimu, kwamba lawama hizo zielekezwe kwa Serikali iliyoshindwa kutoa majibu ya tume ya...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Madudu ya mahakama katika kesi za ujangili
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4PkxV6XZZaQ/VjICoBJ-4pI/AAAAAAAIDWM/bImrWxjTvWs/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IFgLUv0c7to/VjIColnyljI/AAAAAAAIDWI/iAkTWoQ-mGU/s640/New%2BPicture.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FWW4cqfmSO0/Xn1Gloxl9jI/AAAAAAACJa8/pjhM0VYvUTALT3WDRXG37MG69tMaJWjrgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_031415_071.jpg)
FEZA YAENDELEA NA ELIMU MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FWW4cqfmSO0/Xn1Gloxl9jI/AAAAAAACJa8/pjhM0VYvUTALT3WDRXG37MG69tMaJWjrgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200327_031415_071.jpg)
Shule za hizo za kimataifa zinaendelea na ufundishaji kwa kufanya mapitio ya masomo ili watoto wasisahau kile walichokisoma katika kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.
Akiongea kuhusu suala hili mkurugenzi wa shule za Feza Tanzania ndugu Ibrahim Yunus alisema yafuatayo:...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Airtel yaendelea kusaidia sekta ya elimu
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imesaidia jitihada za serikali za kuhamasisha masomo ya sayansi kwa kutoa msaada wa vitabu vya sayansi kwa shule ya sekondari Bariadi iliyopo mkoani...
10 years ago
MichuziAirtel Yaendelea Kusaidia Sekta ya Elimu hapa Nchini
======== ======= ======== Airtel...