FEZA YAENDELEA NA ELIMU MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FWW4cqfmSO0/Xn1Gloxl9jI/AAAAAAACJa8/pjhM0VYvUTALT3WDRXG37MG69tMaJWjrgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_031415_071.jpg)
Baada ya shule zote kufungwa kwa kipindi cha siku 30 na watoto wakiwa nyumbani ili kujikinga na janga la Corona ambalo limeikumba dunia nzima, zoezi la ufundishaji katika shule za Feza bado linaendelea kupitia mtandaoni.
Shule za hizo za kimataifa zinaendelea na ufundishaji kwa kufanya mapitio ya masomo ili watoto wasisahau kile walichokisoma katika kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.
Akiongea kuhusu suala hili mkurugenzi wa shule za Feza Tanzania ndugu Ibrahim Yunus alisema yafuatayo:...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Dec
Feza na O’neal waachana? BBA watweet ‘Feza Confirm Breakup with O’Neal’
10 years ago
Habarileo31 Jan
Elimu waokoa mil 33/- kwa kutangaza matokeo mtandaoni
WIZARA ya Elimu imesema imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 33 ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kutoa matangazo ya mitihani kwa wanafunzi wa kidatu cha pili na darasa la saba katika vyombo vya habari.
11 years ago
Habarileo20 May
Madudu katika elimu yaendelea
WABUNGE wamesema hali ya elimu nchini ni mbaya na kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu ili kuangalia ubora na kudhibiti sekta hiyo muhimu.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Airtel yaendelea kusaidia sekta ya elimu
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imesaidia jitihada za serikali za kuhamasisha masomo ya sayansi kwa kutoa msaada wa vitabu vya sayansi kwa shule ya sekondari Bariadi iliyopo mkoani...
10 years ago
MichuziAirtel Yaendelea Kusaidia Sekta ya Elimu hapa Nchini
======== ======= ======== Airtel...
10 years ago
VijimamboOFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s72-c/pho.jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YAENDELEA KUTOA ELIMU BURE KWA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s1600/pho.jpg)
LICHA ya kupanda kwa gharama za uendeshaji wa sekta ya elimu hapa Zanzibar na duniani kote, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa bure kwa watoto wa Zanzibar kama ilivyotangazwa na Marehemu Mzee Abeid...
10 years ago
GPLAIRTEL YAENDELEA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU HAPA NCHINI
10 years ago
MichuziWIZARA YA NISHATI NA MADINI YAENDELEA KUMWAGA ELIMU KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2015