Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Feza na O’neal waachana? BBA watweet ‘Feza Confirm Breakup with O’Neal’

Big Brother Africa kupitia Twitter yao @BBA9_HotShots wameandika kuwa couple ya O’Neal wa Botswana na Feza Kessy iliyozaliwa katika msimu wa 8 wa BBA The Chase imevunjika. Feza kessy confirms Breakup with Oneal She wrote " ONEZA is no more. Break ups are Never easy….. http://t.co/tZ0fVXDBZD — Big Brother Africa (@BBA9_HotShots) December 5, 2014 Katika […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Exclusive Interview with O’neal (BBA The Chase)

Botswana’s Big Brother Africa 2013 representative, O’neal was in Dar es Salaam, Tanzania recently for a Samsung event. He also had a chance to talk to us about his career as professional DJ, Africa Music, his relationship with Feza, Big Brother Africa and many more. Watch the interview below.

 

10 years ago

TheCitizen

Feza for varsity in Bagamoyo

Feza International Schools, a chain of education institutions from Turkey, has acquired land in Bagamoyo for construction of a university campus, it was revealed here yesterday.

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Feza Kessy — My Papa

Feza Kessy ameachia video ya wimbo wake My Papa iliyofanyika nchini Afrika Kusini. Kuwa wa kwanza kuiona hapa.

 

10 years ago

GPL

MAMA WA FEZA NUSURA AUAWE

Stori: Mwandishi Wetu
WAKATI hofu ya mauaji ya wanawake ikiwa bado imetanda mkoani Arusha, mama mzazi wa mshiriki wa shindano la Big Brother Africa, Feza Kessy ameponea chupuchupu baada ya kuvamiwa na majambazi wawili kisha kuporwa fedha. Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa, Feza Kessy. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu kutoka jijini humo, Feza alisema mama yake aitwaye Rose Kessy alikutwa na masaibu hayo...

 

11 years ago

Michuzi

5 years ago

CCM Blog

FEZA YAENDELEA NA ELIMU MTANDAONI

Baada ya shule zote kufungwa kwa kipindi cha siku 30 na watoto wakiwa nyumbani ili kujikinga na janga la Corona ambalo limeikumba dunia nzima, zoezi la ufundishaji katika shule za Feza bado linaendelea kupitia mtandaoni.

Shule za hizo za kimataifa zinaendelea na ufundishaji kwa kufanya mapitio ya masomo ili watoto wasisahau kile walichokisoma katika kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.

Akiongea kuhusu suala hili mkurugenzi wa shule za Feza Tanzania ndugu Ibrahim Yunus alisema yafuatayo:...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA FEZA KESSY YAYEYUKA

Stori: Laurent Samatta
Habari mbaya! Mpenzi msomaji tunasikitika kukujuza kwamba ile ndoa iliyosubiriwa kwa hamu kubwa imeyeyuka baada ya uchumba wa staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy na jamaa kutoka Botswana, Oneal umeanguka chali. Staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’,...

 

10 years ago

Vijimambo

Wanafunzi wa FEZA watembelea uwakilishi wa kudumu UN


Pichani ni Baadhi ya Wanafuzi wa Shule ya Feza Tanzania na viongozi wao ambao wapo hapa Marekani kwa ziara ya mafunzo walipata nafasi ya kufika katika uwakilishi wa kudumu wa Tanzania na walibadilishana mawazo na Naibu Mwakilishi wa Kudumu, Balozi Ramadhan Mwinyi.
Bi. Monica Otavu, Wakili wa Serikali Mkuu, akizungumza wakati wa Mkutano wa 25 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Sheria ya Bahari. Katika Mkutano huo wa wiki moja pamoja na masuala mengine,...

 

11 years ago

TheCitizen

Feza schools celebrate language and culture

It is 10 in the morning and Mlimami City Hall is alive with the bustling movement of parents, children, cars, and motorcycles. Everyone is gathered here to celebrate a very special day, not only to invitees, but also to parents, students and their teachers as well.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani