Madudu ya mahakama katika kesi za ujangili
Wakati Serikali na wadau mbalimbali wakipiga kelele kuhusu kukithiri kwa ujangili unaotishia kutoweka kwa wanyamapori nchini, baadhi ya mahakimu wamebainika kutoa hukumu zinazokinzana na Sheria ya Wanyamapori namba 5 ya 2009 na ile ya makosa ya uhujumu uchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 May
Kesi ya madai katika mahakama ya wilaya
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Kesi za madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania
10 years ago
Mwananchi28 May
Kesi za madai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ElsokzLIBBQ/UGNF0wS8E8I/AAAAAAAANgg/aSVZbMRcySs/s72-c/chande1.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA SASA KUONYESHA LIVE KESI WAKATI ZIKIENDELEA KATIKA TELEVISHENI NA REDIO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ElsokzLIBBQ/UGNF0wS8E8I/AAAAAAAANgg/aSVZbMRcySs/s640/chande1.jpg)
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alisema jana mahakama inajifunza kutoka kwa nchi zinazoruhusu vituo vya redio na televisheni kurekodi na kuripoti habari wakati kesi zinaendelea.
Alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jana wakati wa mkutano baina ya Baraza la Vyombo vya...
11 years ago
MichuziMAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAWAACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3 KATIKA KESI YA MAUAJI YA NMB MWANGA
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Operesheni ya ujangili yaundiwa mahakama sasa
11 years ago
Habarileo20 May
Madudu katika elimu yaendelea
WABUNGE wamesema hali ya elimu nchini ni mbaya na kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu ili kuangalia ubora na kudhibiti sekta hiyo muhimu.