Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA YA TANZANIA SASA KUONYESHA LIVE KESI WAKATI ZIKIENDELEA KATIKA TELEVISHENI NA REDIO.

Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman 
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alisema jana mahakama inajifunza kutoka kwa nchi zinazoruhusu vituo vya redio na televisheni kurekodi na kuripoti habari wakati kesi zinaendelea. 
Alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jana wakati wa mkutano baina ya Baraza la Vyombo vya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kesi za madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania

Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni mahakama ya ngazi ya juu baada ya mahakama ya wilaya na mahakama ya hakimu mkazi. Mahakama hii imeanzishwa kwa mujibu wa ibara ya 108 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

 

5 years ago

Michuzi

Upelelezi kesi ya Shamimu Mwasha na Mumewe wakamilika, sasa kwenda Mahakama Kuu.

Na Karama Kenyunko,Michuzi Globu.

UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara, Abdul Nsembo maarufu kama Abdulkandida (45) na mkewe, Shamim Mwasha(41), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.

Pia upande huo wa mashitaka umeiomba mahakama kuipanga kesi hiyo katika tarehe ya karibu ili waweze kuwasomea washtakiwa hao maelezo ya mashahidi (Commital) na vielelezo kwa ajili ya kesi hiyo kuhamia Mahakama Kuu ambayo ndio ina...

 

10 years ago

GPL

TBC KUONESHA LIVE JK AKIONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA‏

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwete mchana huu ataanza kuzungumza na Wazee wa Dodoma  katika ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma wakati wowote kuanzaia sasa. Usikose kuangalia mazungumzo hayo yatayooneshwa moja kwa moja na TBC One pamoja na mtandao wa www.ikulu.go.tz IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA RAIS IKULU, NOVEMBA 4, 2014 ...

 

10 years ago

Vijimambo

TBC KUONESHA LIVE RAIS KIKWETE ANAPOONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwetemchana huu ataanza kuzungumza na Wazee wa Dodoma katika ukumbi waKilimani mjini Dodoma wakati wowote kuanzaia sasa. Usikose kuangaliamazungumzo hayo yatayooneshwa moja kwa moja na TBC One pamoja namtandao wa www.ikulu.go.tz
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA RAIS IKULU,
NOVEMBA 4, 2014

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya madai katika mahakama ya wilaya

Mahakama ya wilaya imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha sheria ya Mahakama Sura ya 11 kama ilivyorejewa mwaka 2002. Mahakama za wilaya zimeanzishwa kwa kusudi la kushughulikia mashauri yaliyopo katika wilaya husika. Kesi husikilizwa na Hakimu wa wilaya au Hakimu Mkazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Madudu ya mahakama katika kesi za ujangili

Wakati Serikali na wadau mbalimbali wakipiga kelele kuhusu kukithiri kwa ujangili unaotishia kutoweka kwa wanyamapori nchini, baadhi ya mahakimu wamebainika kutoa hukumu zinazokinzana na Sheria ya Wanyamapori namba 5 ya 2009 na ile ya makosa ya uhujumu uchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi za madai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi

Mahakama ya Hakimu Mkazi imeanzishwa chini ya kifungu cha nne cha Sheria ya Mahakama Sura ya 11 kama ilivyorejewa mwaka 2002.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TBC KUONESHA LIVE RAIS KIKWETE ANAPOONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA UKUMBI WA KILIMANI


Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwete mchana huu ataanza kuzungumza na Wazee wa Dodoma  katika ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma wakati wowote kuanzia sasa. Usikose kuangalia mazungumzo hayo yatayooneshwa moja kwa moja na TBC One pamoja na mtandao wa www.ikulu.go.tz
IMETOLEWA NA KITENGO CHA 
MAWASILIANO YA RAIS IKULU, DAR ES SALAAM
NOVEMBA 4, 2014

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini

BETTY 1

Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.

Bw.+Phil-Makini+Kleruu

Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.

Na Mwandishi wetu, Arusha

Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali  kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani