MAHAKAMA YA TANZANIA SASA KUONYESHA LIVE KESI WAKATI ZIKIENDELEA KATIKA TELEVISHENI NA REDIO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ElsokzLIBBQ/UGNF0wS8E8I/AAAAAAAANgg/aSVZbMRcySs/s72-c/chande1.jpg)
Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman
MAHAKAMA inaangalia uwezekano wa kuruhusu vyombo vya habari kurekodi picha na sauti kuwezesha vituo vya radio na televisheni kuripoti habari za mahakama wakati kesi zinaendelea. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alisema jana mahakama inajifunza kutoka kwa nchi zinazoruhusu vituo vya redio na televisheni kurekodi na kuripoti habari wakati kesi zinaendelea.
Alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jana wakati wa mkutano baina ya Baraza la Vyombo vya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Kesi za madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1VRIS-j6ZL4/Xn3JXVL3mWI/AAAAAAALlSI/hsyQD6M-5AUdiV45S3oIcDQmDe1WJEhdQCLcBGAsYHQ/s72-c/sheria.jpg)
Upelelezi kesi ya Shamimu Mwasha na Mumewe wakamilika, sasa kwenda Mahakama Kuu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1VRIS-j6ZL4/Xn3JXVL3mWI/AAAAAAALlSI/hsyQD6M-5AUdiV45S3oIcDQmDe1WJEhdQCLcBGAsYHQ/s320/sheria.jpg)
UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara, Abdul Nsembo maarufu kama Abdulkandida (45) na mkewe, Shamim Mwasha(41), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.
Pia upande huo wa mashitaka umeiomba mahakama kuipanga kesi hiyo katika tarehe ya karibu ili waweze kuwasomea washtakiwa hao maelezo ya mashahidi (Commital) na vielelezo kwa ajili ya kesi hiyo kuhamia Mahakama Kuu ambayo ndio ina...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ssMoq4f1XWg/VFiTJ-h5QRI/AAAAAAAGvXo/767h10faOA4/s1600/0L7C3835.jpg?width=650)
TBC KUONESHA LIVE JK AKIONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QC-9xZt_S64/TsaJW-UEkWI/AAAAAAABCo0/yclD_xeGQ-g/s72-c/Z11.jpg)
TBC KUONESHA LIVE RAIS KIKWETE ANAPOONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QC-9xZt_S64/TsaJW-UEkWI/AAAAAAABCo0/yclD_xeGQ-g/s640/Z11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iArGNQzivtk/Tscv0kkPWII/AAAAAAAB4lg/UIz57i_Nl68/s640/a1.jpg)
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA RAIS IKULU,
NOVEMBA 4, 2014
10 years ago
Mwananchi21 May
Kesi ya madai katika mahakama ya wilaya
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Madudu ya mahakama katika kesi za ujangili
10 years ago
Mwananchi28 May
Kesi za madai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ssMoq4f1XWg/VFiTJ-h5QRI/AAAAAAAGvXo/767h10faOA4/s72-c/0L7C3835.jpg)
NEWS ALERT: TBC KUONESHA LIVE RAIS KIKWETE ANAPOONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA UKUMBI WA KILIMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ssMoq4f1XWg/VFiTJ-h5QRI/AAAAAAAGvXo/767h10faOA4/s1600/0L7C3835.jpg)
IMETOLEWA NA KITENGO CHA
MAWASILIANO YA RAIS IKULU, DAR ES SALAAM
NOVEMBA 4, 2014
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...