Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAWAACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3 KATIKA KESI YA MAUAJI YA NMB MWANGA

Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje ( aliyebeba mafaili),  Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake  Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada  ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika  tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu  kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru leo mchana katika kesi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mahakama Moshi yaawachia huru washtakiwa 9 na kuwatia hatiani 3 kesi ya mauaji ya NMB Mwanga

moshi 1

Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje (aliyebeba mafaili), Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada  ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika  tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga.

moshi 2

Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu  kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru jana mchana katika kesi ya mauaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yawaachia washtakiwa Spice Islanders

>Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu amewaachia huru watu 12 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuua bila ya kukusudia baada ya meli ya MV Spice Islanders kuzama katika Bahari ya Hindi, Septemba 10, 2011.

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na taasisi mbili zisizo za serikali waliokuwa wakipinga marekebisho katika Sheria ya Makampuni Sura ya 212, Sheria ya Asasi Zisizo za Serikali Sura ya 337 na Sheria ya Usajili wa Wadhamini Sura ya 318.

Marekebisho katika sheria hizo yalihusu  kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...

 

11 years ago

Michuzi

mwenendo wa kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya lulu michael mahakama kuu jijini dar es salaam leo

MSANII wa filamu Elizabeth Michael Kimemeta (18), maarufu kama Lulu anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya msanii mwenzake Steven Kanumba (28), leo amekiri mahakamani kwamba siku ya tukio alikuwa na ugomvi na marehemu kabla ya kifo chake.  Kadhalika, alikiri kuwa walikuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba alikuwa na utamaduni wa kumtembelea marehemu Kanumba nyumbani kwake Sinza, jijini Dar es Salaam. Lulu alitoa madai hayo leo wakati akisomewa maelezo ya awali baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria

Mahakama ya Rufani imewaachia huru wafungwa wawili raia China (pichani)  waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uvuvi haramu katika katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclusive Economic Zone- EEZ) Wafungwa hao , Hsu Chin Tai ambaye alikuwa nahodha wa meli ya Tawaliq 1 waliyokamatwa nayo wakifanya uvuvi huo haramu na aliyekuwa wakala wa meli hiyo, pamoja na baharia Zhao Hanquing.   Walitiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Februari 23,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi za madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania

Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni mahakama ya ngazi ya juu baada ya mahakama ya wilaya na mahakama ya hakimu mkazi. Mahakama hii imeanzishwa kwa mujibu wa ibara ya 108 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO

Na Innocent Kansha- Mahakama  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa  njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu,  kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani