Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yawaachia washtakiwa Spice Islanders

>Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu amewaachia huru watu 12 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuua bila ya kukusudia baada ya meli ya MV Spice Islanders kuzama katika Bahari ya Hindi, Septemba 10, 2011.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAWAACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3 KATIKA KESI YA MAUAJI YA NMB MWANGA

Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje ( aliyebeba mafaili),  Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake  Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada  ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika  tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu  kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru leo mchana katika kesi ya...

 

11 years ago

Michuzi

News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria

Mahakama ya Rufani imewaachia huru wafungwa wawili raia China (pichani)  waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uvuvi haramu katika katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclusive Economic Zone- EEZ) Wafungwa hao , Hsu Chin Tai ambaye alikuwa nahodha wa meli ya Tawaliq 1 waliyokamatwa nayo wakifanya uvuvi huo haramu na aliyekuwa wakala wa meli hiyo, pamoja na baharia Zhao Hanquing.   Walitiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Februari 23,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mahakama Moshi yaawachia huru washtakiwa 9 na kuwatia hatiani 3 kesi ya mauaji ya NMB Mwanga

moshi 1

Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje (aliyebeba mafaili), Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada  ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika  tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga.

moshi 2

Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu  kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru jana mchana katika kesi ya mauaji...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Islanders Blamed for Delaying Process of Creating New Union Constitution


Islanders Blamed for Delaying Process of Creating New Union Constitution
AllAfrica.com
Zanzibar — AS the Constitution Assembly (CA) resumes its session, members of the assembly from Zanzibar are to blame for the delays and disputes over the constitution, a report says. The Zanzibar Institute for Research and Public Policy (ZIRPP) says in its ...

 

11 years ago

TheCitizen

L. ZONE: Hospital ship promises ‘mobile’ healthcare for Lake Victoria islanders

Islanders should expect regular healthcare services from November, 'Hospital Ship' project coordinators say.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yawaachia waangalizi wa OSCE

Waangalizi 7 wa kimataifa waliokamatwa siku nane zilizopita na wanaharakati wanaounga mkono Urusi,wamewachiliwa huru.

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani

Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Stars may spice up Kigali Cup

>Taifa Stars and Uganda Cranes are among national soccer teams expected to take part in a football memorial tournament meant to honour football players, coaches and administrators who were killed in the 1994 Genocide against the Tutsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani