Ukraine yawaachia waangalizi wa OSCE
Waangalizi 7 wa kimataifa waliokamatwa siku nane zilizopita na wanaharakati wanaounga mkono Urusi,wamewachiliwa huru.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Waangalizi waane waachiliwa Ukraine
Shirika la usalama na ushirikiano wa ulaya OSCE limesema kuwa waasi mashariki mwa Ukraine wamewaachilia waangalizi wengine wanne .
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Waangalizi wa Ulaya wazuiliwa Ukraine
Waangalizi wa Ulaya waliotumwa katika eneo la ndege ya Malaysia Airline iliangushwa wamezuiliwa kuona mabaki ya ndege hiyo.
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani
Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Mahakama yawaachia washtakiwa Spice Islanders
>Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu amewaachia huru watu 12 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuua bila ya kukusudia baada ya meli ya MV Spice Islanders kuzama katika Bahari ya Hindi, Septemba 10, 2011.
11 years ago
MichuziMAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAWAACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3 KATIKA KESI YA MAUAJI YA NMB MWANGA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s72-c/8.jpg)
News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria
![](http://1.bp.blogspot.com/-hhL0MdDLp-U/UzWbuh4jAFI/AAAAAAAFXCY/kVZU6FZ3L-c/s1600/8.jpg)
9 years ago
Habarileo30 Oct
Waangalizi wasifia uchaguzi
UMOJA wa Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Tanzania (CEMOT), umepongeza mchakato wa uchaguzi wakisema sheria na kanuni vimezingatiwa na kuheshimiwa.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Waangalizi waibana ZEC
Waangalizi wa kimataifa wa Uchaguzi Mkuu nchini wameitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kueleza sehemu ambazo zilikuwa zina ukiukwaji wa taratibu na kuonyesha uwazi katika kufikia uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais wa visiwa hivyo na wawakilishi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania