Waangalizi waibana ZEC
Waangalizi wa kimataifa wa Uchaguzi Mkuu nchini wameitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kueleza sehemu ambazo zilikuwa zina ukiukwaji wa taratibu na kuonyesha uwazi katika kufikia uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais wa visiwa hivyo na wawakilishi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Waangalizi wa uchaguzi TZ waipinga ZEC
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Waangalizi Ulaya waikalia kooni ZEC
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Wanafunzi waibana polisi
MTANDAO wa Wanafunzi nchini (TSNP), umelitaka Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kutoa taarifa rasmi kuhusu kutekwa nyara kwa Rais wa Chuo Kikuu cha Afya na Tiba cha Bugando (CUHAS), Mussa...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Wabunge waibana Serikali
WABUNGE wameendelea kuitaka Serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato, huku baadhi yao wakionesha wasiwasi kama Serikali itafanikiwa kukusanya Sh trilioni 19, kutokana na kukosa mbinu za upanuzi wa wigo wa kodi.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Wabunge waibana serikali
NA SELINA WILSON, DODOMA
WABUNGE wameendelea kuikalia kooni serikali juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakitaka ipunguzwe na wengine wakitaka ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji mapato badala ya kutegemea wahisani.
Bajeti Kuu ya Serikali inatarajiwa kusomwa bungeni kesho, ambapo kwa wiki nzima, wabunge wamekuwa wakiibana serikali kuitaka kueleza namna...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wawekezaji wazawa waibana Serikali
10 years ago
Habarileo22 May
Wawakilishi waibana Tume ya Uchaguzi
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa kufuata misingi ya Sheria na Katiba ili kuepuka vurugu.
11 years ago
Habarileo12 Dec
CCM waibana Halmashauri ya Jiji Arusha
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha imeuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha miradi yote iliyokuwa imeanza kujengwa inakamilika kwa wakati bila ya kuwa na visingizio.
11 years ago
MichuziSerikali, Wabunge waibana Kabanga Nickel