Waangalizi Ulaya waikalia kooni ZEC
Wakati sintofahamu ya kisiasa ikiendelea Zanzibar baada ya kufutwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu kutoka Jumuiya ya Ulaya (EU EOM) wametoa wito wa kukamilishwa haraka mchakato wa uchaguzi visiwani humo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi shirikishi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 May
Wabunge wa Ukawa waikalia kooni Ikulu
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Waangalizi waibana ZEC
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Waangalizi wa uchaguzi TZ waipinga ZEC
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Waangalizi Umoja wa Ulaya wawasili
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UJUMBE wa waangalizi 34 wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU), wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa uchaguzi mkuu.
Waangalizi hao wanaungana na kundi kuu la EU EOM la watathmini wa uchaguzi ambao waliwasili Septemba 11, mwaka huu.
Msafara wa EU EOM nchini Tanzania, utaongozwa na Mbunge wa Bunge la Ulaya kutoka nchini Uholanzi, Judith Sargentini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na Ofisa Habari wa...
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Waangalizi wa Ulaya wazuiliwa Ukraine
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhSEmsa*FW-ivQ7x9rfCInFr65BmWLUIyRlEZF1hqsuf8B*y2juv*yDEoQZ5UDMc0rHA*-cCQDeP8ZXhfr6Cv-em/sergentini.jpg?width=650)
9 years ago
VijimamboUMOJA WA ULAYA KUTUMA WAANGALIZI WA UCHAGUZI
Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo.
9 years ago
Michuzi27 Oct
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Sep
Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua.
Bibi Judith Sargentini Mbunge wa Bunge la ummoja wa Ulaya Friday, September 25, 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Kazi ya waangalizi wa muda mrefu itairuhusu EU EOM kufanya tathmini ya kina ya mchakato wa […]
The post Waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Umoja wa Ulaya watua. appeared first on Mzalendo.net.