Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wa Ukawa waikalia kooni Ikulu

>Mjadala wa bajeti mwaka 2015/16 umegeuka mwiba mchungu kwa Ofisi ya Rais baada ya mawaziri watatu waliopo katika ofisi hiyo kubanwa na wabunge wa upinzani hasa wale wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakisema “njaa imeanzia Ikulu na Ofisi ya Rais inayosimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) haina utashi wa kupambana na rushwa.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Waangalizi Ulaya waikalia kooni ZEC

Wakati sintofahamu ya kisiasa ikiendelea Zanzibar baada ya kufutwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu kutoka Jumuiya ya Ulaya (EU EOM) wametoa wito wa kukamilishwa haraka mchakato wa uchaguzi visiwani humo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi shirikishi.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

OMBI LA WABUNGE NA MADIWANI WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONI KUIOMBA IKULU (OFISI YA RAIS) IUNDE TUME HURU

LEO MADIWANI NA WABUNGE WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONItumeiomba Ikulu (OFISI YA RAIS) iteue TUME HURU YA UCHUNGUZI "a free and independent inquirery Commission" dhidi ya tuhuma za mkurugenzi aliyesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma zake 3:- (i) Uduni wa ubora wa barabara zilizo jengwa manispaa yabkinondoni na kushindwa kuwaadhibu wahandisi wahusika (ii) Kushindwa kusimamia

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa CCM wawakalia kooni mawaziri mizigo

Wabunge 160 wa CCM wamejiorodhesha kuomba kuitishwa kwa kikao cha Kamati ya Wabunge hao kwa lengo la kuwajadili mawaziri wanaotajwa kuwa mizigo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge

Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete hatakubali kuidhinisha kama akipelekewa ombi la kuongeza kiinua mgongo cha wabunge kutoka Sh43 milioni hadi Sh160 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wajiweka pembeni ‘vigogo’ waliosafishwa Ikulu

Siku moja baada ya Ikulu kutangaza kuwasafisha mawaziri watano na Katibu Mkuu, Eliackim Maswi, wabunge wamejiweka pembeni na suala hilo wakisema Bunge lilishatimiza wajibu wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga Manzese waikalia Ahly

WANACHAMA wa Klabu ya Yanga, tawi la Manzese jijini Dar es Salaam, leo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kusaidiana na uongozi kuelekea mechi ya awali ya raundi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wagusa Ikulu

UMOJA wa Katiba wa Wananchi (UKAWA), umedai kunasa mkakati wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutumia sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kuendesha propaganda kwenye baadhi ya vyombo vya...

 

11 years ago

Mtanzania

Ikulu yawagomea Ukawa

Baadhi ya viongozi wa Ukawa wakijadiliana jambo

Baadhi ya viongozi wa Ukawa wakijadiliana jambo

SHABANI MATUTU, DAR NA FREDY AZZAH, DODOMA

SIKU moja baada ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kumtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha shughuli za Bunge Maalumu la Katiba, hatimaye Ikulu imeibuka na kusema haina mpango wa kulivunja.

Uamuzi huo wa Ikulu umetolewa jijini Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alipokuwa akizungumza na MTANZANIA.

Alisema Bunge Maalumu la Katiba lilianzishwa na linaendeshwa kwa...

 

11 years ago

Mtanzania

Ikulu yawakatisha tamaa Ukawa

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

NA SHABANI MATUTU

MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Salva alisema katu hatua hiyo haitaweza kusitisha Bunge hilo akiwataka warejee bungeni na kujenga hoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani