UKAWA wagusa Ikulu
UMOJA wa Katiba wa Wananchi (UKAWA), umedai kunasa mkakati wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutumia sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kuendesha propaganda kwenye baadhi ya vyombo vya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Ikulu yawagomea Ukawa
![Baadhi ya viongozi wa Ukawa wakijadiliana jambo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ukawa.jpg)
Baadhi ya viongozi wa Ukawa wakijadiliana jambo
SHABANI MATUTU, DAR NA FREDY AZZAH, DODOMA
SIKU moja baada ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kumtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha shughuli za Bunge Maalumu la Katiba, hatimaye Ikulu imeibuka na kusema haina mpango wa kulivunja.
Uamuzi huo wa Ikulu umetolewa jijini Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alipokuwa akizungumza na MTANZANIA.
Alisema Bunge Maalumu la Katiba lilianzishwa na linaendeshwa kwa...
9 years ago
Habarileo09 Nov
Wingi wa vijana Bunge la 11 wagusa hisia
UWAPO wa wabunge wengi vijana katika Bunge la 11 umetajwa kuwa jambo jema kwa nchi ingawa imetolewa angalizo kuhakikisha wingi wao, hauwi sababu ya kugeuza chombo hicho kuwa kijiwe na uwanja wa vijembe.
9 years ago
Habarileo11 Dec
Uteuzi mawaziri wagusa wengi, wapongezwa
WATU wa kada mbalimbali wamepongeza uamuzi wa Rais John Magufuli kupunguza ukubwa wa Baraza la Mawaziri kwamba hatua hiyo itasaidia kuwa na watu wachache watakaofanya kazi ya kusaidia kuinua uchumi wa nchi. Aidha, uteuzi wake wa Baraza la Mawaziri umewagusa viongozi wa taasisi mbalimbali na wasomi nchini ambao wamelitaja baraza hilo kuwa ni la viwango lililozingatia weledi.
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Kikwete awaita Ukawa Ikulu
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA WAANDISHI WETU, MOROGORO NA DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete amesema yupo tayari kukutana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kupinga hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumtuma Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kusaka suluhu na viongozi wa Ukawa.
Akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro juzi, mara...
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Ikulu yawakatisha tamaa Ukawa
![Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ukawa-viongozi.jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
NA SHABANI MATUTU
MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Salva alisema katu hatua hiyo haitaweza kusitisha Bunge hilo akiwataka warejee bungeni na kujenga hoja...
10 years ago
Mtanzania05 Nov
Ukawa wadai kunasa waraka wa Ikulu
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kunasa waraka wa Ofisi ya Rais Ikulu unaoonyesha Serikali imetenga Sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kampeni ya kuwezesha Katiba inayopendekezwa ipitishwe kwa kupigiwa kura ya ndiyo katika kura ya maoni.
Katibu Mkuu wa Ukawa ambaye pia ni Katibu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, alidai Dar es Salaam jana kuwa kampeni hiyo itafanywa kupitia vyombo vya habari kuwahamasisha wananchi waweze kupiga kura ya ndiyo na...
10 years ago
TheCitizen05 Nov
Ukawa accuses Ikulu of foul play
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...