Wabunge wajiweka pembeni ‘vigogo’ waliosafishwa Ikulu
Siku moja baada ya Ikulu kutangaza kuwasafisha mawaziri watano na Katibu Mkuu, Eliackim Maswi, wabunge wamejiweka pembeni na suala hilo wakisema Bunge lilishatimiza wajibu wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
Wabunge Waweka Siasa Pembeni na Kupambana na Corona
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameweka nguvu zao pamoja kupambana na ugonjwa wa Corona na kuweka itikadi zao za kisiasa pembeni.
Akizungumza leo Bungeni jijini Dodoma katika kikao cha kwanza cha Bunge la Bajeti la 2020/21, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewataka wabunge na wadau wengine waweke umbali kati ya mtu na mtu (sociali distance) ili kuepuka maambukizi ya Corona.
Kwa kuzingatia hilo, jumla ya wabunge wasiozidi 150 ndio wanaoruhusiwa...
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Wao wakiitazama Ikulu, sisi tulitazame taifa huku tukiweka uchama pembeni
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Ikulu: JK hatawaadhibu vigogo wa escrow bila ya uchunguzi
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge
10 years ago
Mwananchi19 May
Wabunge wa Ukawa waikalia kooni Ikulu
10 years ago
Mwananchi20 May
MAONI: Takukuru haiwezi kuchunguza viongozi waliosafishwa
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Polisi wajiweka sawa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejipanga vizuri kukabiliana na viashiria vya matukio ya kigaidi na ujambazi wa kutumia silaha katika ukanda wa Afrika Mashariki, anaripoti Asifiwe George kutoka Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, alisema watashirikiana na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha udhibiti wa matukio ya uhalifu au fujo zinazoweza kujitokeza, hasa katika kipindi hiki cha Sikukuu ya...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-o7pNML0L1F8/VncxHso05NI/AAAAAAAAXgU/H6pfUP8HFV8/s72-c/blogger-image--1935010144.jpg)
OMBI LA WABUNGE NA MADIWANI WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONI KUIOMBA IKULU (OFISI YA RAIS) IUNDE TUME HURU