Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikulu: JK hatawaadhibu vigogo wa escrow bila ya uchunguzi

 Ikulu imesema pamoja na kuwa Rais Jakaya Kikwete amekwishapokea maazimio ya Bunge kuhusu wanaotuhumiwa kuchota Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow, hawezi kuwachukulia hatua mpaka hapo uchunguzi kuhusu suala hilo utakapokamilika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Dk Hosea: Uchunguzi Escrow palepale

Edward Hosea mkuu wa TAKUKURUNa Debora Sanja, Dodoma
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema uchunguzi dhidi ya vigogo wa kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow unaendelea.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Mkurugenzi wa Takukuru, Dk . Edward Hosea alipokuwa akijibu maswali ya wabunge waliohudhuria semina ya Chama Cha Wabunge Wanaopambana na Rushwa (APNAC).
Kauli ya Dk. Hosea ilitokana na swali la Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM), aliyetaka...

 

10 years ago

Habarileo

VIP waunga mkono uchunguzi Escrow

KAMPUNI iliyokuwa na hisa katika Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), VIP Engineering and Marketing Limited, imesema kuwa inaunga mkono uchunguzi utakaobanisha ukweli kuhusu sakata la Sh bilioni 300 zilizokuwepo kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo kizimbani mgawo Escrow

2Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana, ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa...

 

10 years ago

GPL

MALI ZA VIGOGO ESCROW USIPIME

Stori: Mwandishi Wetu
HUKU moto wa upotevu wa fedha za umma katika akaunti ya Tegeta Escrow ukiwa bado unawaka kufuatia mawaziri wawili, mwanasheria mkuu wa serikali, katibu mkuu mmoja na Bodi ya Tanesco kutakiwa kuwajibishwa, mali zinazomilikiwa na vigogo waliochotewa fedha hizo usipime. Moja ya ghorofa la kifahari katika maghorofa yanayomilikiwa na vigogo wa Escrow. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa wanaotajwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo ‘watosana’ ufisadi Escrow

KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewaweka njia panda vigogo wa Serikali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ

Kamati ya bunge ya hesabu za serikali Tanzania imebainisha majina ya wahusika wa kashfa na IPTL ,waziri mkuu nae atajwa

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vigogo wa Escrow wapumulia mashine

Kama unahitaji kutangaza biashara yako kupitia tovuti hii, wasiliana na idara ya masoko au fika ofisini kwetu mtaa wa Lumumba, mkabala na Shule ya Msingi Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
***   ***   ***  ***   ***  ***   ***   ***   ***


.... Wapumulia mashine

NA MWANDISHI WETU, DODOMA
LICHA ya kuanza kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma na mamlaka zingine za uchunguzi, hali bado ngumu kwa watendaji wa umma waliohusika kwenye kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow. Tangu kuibuliwa kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Hali tete kwa vigogo Escrow

lissungeleja1Aziza Msoud na Shabani Matutu, Dar es Salaam
HALI inazidi kuwa tete kwa vigogo kadhaa wa Serikali juu ya sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, baada ya kuwapo taarifa kuwa wengi watafikishwa mahakamani.
Iwapo leo vigogo ambao majina yao yamekuwa yakitajwa tangu juzi watafikishwa mahakamani, wataongeza idadi baada ya juzi watumishi wawili wa Serikali kufikishwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Jana asubuhi baadhi ya maofisa wa Taasisi...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow yauma vigogo BoT, TRA

Pg 1Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Fedha wa Benki Kuu, Julius Angello, Meneja wa Misamaha ya Kodi wa TRA, Kyabukoba Mutabingwa na Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa ya zaidi ya Sh bilioni mbili kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Washtakiwa hao walipandishwa jana kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya mahakimu wawili tofauti na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani