Vigogo kizimbani mgawo Escrow
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana, ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kashfa ya Tegeta Escrow: Vigogo wawili Serikalini kizimbani
10 years ago
Habarileo23 Mar
‘Maaskofu mgawo Escrow wabanwa’
MWENYEKITI wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste Tanzania (PPFT), Askofu Pius Ikongo ameibuka na kutaka Jukwaa la Kikristo (TCF) kutoa tamko juu ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya maaskofu waliotuhumiwa kupokea mgawo wa fedha za Escrow.
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Askofu asimulia mgawo wa Escrow
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, amevunja ukimya na kusimulia namna alivyopokea Sh milioni 40.4 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engireering & Marketing Ltd, James Rugemalila.
Fedha hizo, ni sehemu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Askofu Nzigilwa ni mmoja wa watu waliotajwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), mwaka jana kuwa alipokea...
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tibaijuka-December11-2014.jpg)
Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Waliopata mgawo Escrow kutozwa mamilioni
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mgawo wa escrow wazidi kumtesa Tibaijuka
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Vigogo Bandari kizimbani
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), Ephraim Mgawe na naibu wake, Hamad Koshuma, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngeleja-04March2015.jpg)
Ngeleja (47), ambaye amewahi pia...