Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka
Juhudi za Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, kujisafisha dhidi ya kashfa ya kunufaika na mgao wa zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow, zimechukua sura mpya na sasa anaitumia shule ya wasichana ya Barbro Johansso, bodi yake, wanafunzi na wazazi kujinasua.
Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mgawo wa escrow wazidi kumtesa Tibaijuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
Solid19 Dec
Escrow account scandal: Prof Tibaijuka rock
IPPmedia
Despite mounting pressures from the general public wanting her to resign over involvement in the Tegeta escrow account, Lands, Housing and Human Settlements Development Minister Prof Anna Tibaijuka has once again denied involvement in it and ...
10 years ago
TheCitizen18 Dec
Prof. Tibaijuka refuses to resign over Escrow scam
10 years ago
Habarileo17 Dec
ESCROW: Wanazuoni waukubali ukweli kuhusu Prof Tibaijuka
WANAZUONI, wanasiasa na wananchi wamepongeza ufafanuzi wa Bodi ya Wadhamini ya Joha Trust kuhusu mchango wa Sh bilioni 1.617 kutoka kwa Mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira kwa shule za Joha.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lppFjGftRJ0/VJKyEAT_eqI/AAAAAAAG4GU/dLm7o4eBd0M/s72-c/DSC_3645.jpg)
Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s72-c/tibaijuka.jpg)
PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s400/tibaijuka.jpg)
MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.
Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...