Prof. Tibaijuka refuses to resign over Escrow scam
 The Minister of Lands, Housing and Human Settlements Professor Anna Tibaijuka yesterday said that resigning is not a fashion, thus she will not resign until when the government proves that she is guilty.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen24 Nov
EDITORIAL: Time for architects of Escrow scam to resign
>After months of denial, propaganda and flimsy defence, finally, the truth has emerged and it should be time for all those who facilitated the withdrawal of Sh207 billion from the Tegeta escrow account to resign.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
Waziri wa Madini na Nishati, Profesa Sospeter Muhongo. WABUNGE kwa pamoja wamekubaliana kuondoa maazimio 12 yaliyoletwa bungeni na Kamati ya PAC na kuleta maazimio mapya 8 ambayo yamekubaliwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema. Mojawapo ya maazimio hayo ni Mamlaka ya uteuzi kutakiwa iwawajibishe na kushauriwa kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo, Mwanasheria… ...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tibaijuka-December11-2014.jpg)
Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...
10 years ago
Solid19 Dec
Escrow account scandal: Prof Tibaijuka rock
IPPmedia
Despite mounting pressures from the general public wanting her to resign over involvement in the Tegeta escrow account, Lands, Housing and Human Settlements Development Minister Prof Anna Tibaijuka has once again denied involvement in it and ...
10 years ago
Habarileo17 Dec
ESCROW: Wanazuoni waukubali ukweli kuhusu Prof Tibaijuka
WANAZUONI, wanasiasa na wananchi wamepongeza ufafanuzi wa Bodi ya Wadhamini ya Joha Trust kuhusu mchango wa Sh bilioni 1.617 kutoka kwa Mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Limited, James Rugemalira kwa shule za Joha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s72-c/tibaijuka.jpg)
PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s400/tibaijuka.jpg)
MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.
Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lppFjGftRJ0/VJKyEAT_eqI/AAAAAAAG4GU/dLm7o4eBd0M/s72-c/DSC_3645.jpg)
Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka
NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU YA JAMII.
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
TheCitizen22 Jan
Three MPs resign over escrow billions bounty
>Three parliamentary committee chairpersons have resigned over the Sh306 billion Tegeta escrow account scandal. Those who handed in their letters to the Office of the Speaker are Bariadi West MP Andrew Chenge, Sengerema MP William Ngeleja and Lupa MP Victor Mwambalaswa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania